Legend AY: Tunaomba uwakutanishe Ali Kiba na Diamond ili kuokoa ugomvi wa mashabiki

duh nimeelewa so sad!
wala usihuzunike, malengo ya kiba 2015 yalitimia kwa ngoma mbili tu, na mwaka huu anauanza na #LUPELA, most awaited song kama ilivyokuwa chekecha, binadam hawezi funga riziki ya mtu ataichelewesha tu, ndo maana hata kiba hapati tabu nao ila samtyme yanamzidia anaamua aongee tu
 

ni kweli diamond yupo juu sana kwasasa lakini hiyo haitunyimi fulsa ya kujadili changamoto za alikiba, why video zake hazipigwi huko nje ya nchi? usiniambie hazina quality wakati zipo kibao tu zinapigwa huko nje tena za low quality......tena alitoa video kwa godfadher kabisa lakini bado haikupata airtime why?
 
Mh! Kazi IPO
 

lakini mkuu hapa umeshamwaga mchele hadharani Makazi ya Alikiba , hofu yangu hao wauza sembe umewarahisishia kazi
 
lakini mkuu hapa umeshamwaga mchele hadharani Makazi ya Alikiba , hofu yangu hao wauza sembe umewarahisishia kazi

Kwa pale sio kazi rahisi kutokna na unyeti wa maeneo yale. Na nadhani ndio maana akaamua kuishi pale.

Ova
 
Mkuu hizi sio bla bla kweli?
Ha ha ha haaaaaa! Kwa swali lako kuna kitu umenikumbusha mkuu. Nakumbuka Dec 2014 nilimjibu mtu anaitwa Mingoi kuhusu Lowassa, yeye alikuwa akibisha kwenye uzi fulani kwamba Lowassa ahami CCM. Sasa hiyo Dec mwaka juzi nilimjibu kuwa atahama baada ya CCM kumtosa, yeye na wenzake wakabisha na kusubiri hadi July 2015.
Jamani, ni kweli sote tuko humu jamvini lakini katika uhalisia wa maisha kila mmoja yuko kwenye kona yake na namna anavyoweza kupata taarifa ya mambo fulani na kuamua tu kuwajulisha wenzake bure kabisa. Fikiria katika lile tukio la ajali ya Alikiba huko Morogoro, jiulize ilikuwaje akagoma kusema chochote kuhusu ajali? Kwanini gari liliondolewa haraka haraka eneo la tukio?
Jiulize, Alikiba alivamiwa nyumbani kwake kwa silaha nzito na wavamizi walikaa nyumbani kwake kwa zaidi ya dakika kumi na walikuwa wakiihoji familia aliko Alikiba, polisi walipigiwa simu na Abdul lakini hawakwenda hadi Abdul aliposimamisha njia gari la polisi ambalo lilikuwa likienda eneo la tukio kama linaenda harusini.
Hili ni suala la wakati tu, ukifika kila mmoja atajua na kukumbuka kwamba aliwahi kusikia toka humu. Hata Betty alikuwa akilalamika sana Twitter juu ya kusakamwa na hili genge, watu wakapuuza. Lakini alipookotwa mtaroni akiwa hajitambui na baadaye kufariki ndio watu wakasema tulidhani utani. Na waliokuwa wakimsakama wanaendelea kupeta tu.

Ova
 
Naona humtakii Mema Ali K wewe maana beef ndio tegemeo lake kubwa
 
Hata mimi niliona hiyo, Sporal alikuwaa anamlazimisha Kiba amzungumzie MONDI, jamaa akachomoa. Akauliza, Mondi amakujaje hapa?
 
Hata mimi niliona hiyo, Sporal alikuwaa anamlazimisha Kiba amzungumzie MONDI, jamaa akachomoa. Akauliza, Mondi amakujaje hapa?
waandishi ndo viazi ndo huwa wanamuuliza kuhusu diamond, nayeye lazima awajibu
Very true, jamaa wanajitahidi sana kuchokonoa watu ili wagombane. Goodluck jamaa wanajitambua, hugoma kujibu maswali ya kichokozi, Bid Up Kiba na Mondi
 

Acha kudanganya watu humu....

Kwa Tanzania ilivyo watu wakikutaka roho yako haipiti masaa matatu
 
My observation so far
1.Babu Tale na Saidi Fella ni wauza Sembe/ wanatumiwa na wauza Sembe kumuangamiza Kiba kimuziki

2.Ali Kiba alishafanya hizo deal za sembe now amewageuka

3.Hao wauza Sembe wameshajaribu kumuua Kiba mara kadhaa
 
My observation so far
1.Babu Tale na Saidi Fella ni wauza Sembe/ wanatumiwa na wauza Sembe kumuangamiza Kiba kimuziki

2.Ali Kiba alishafanya hizo deal za sembe now amewageuka

3.Hao wauza Sembe wameshajaribu kumuua Kiba mara kadhaa
Nahisi

Haupo mbali sana na ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…