Legend AY: Tunaomba uwakutanishe Ali Kiba na Diamond ili kuokoa ugomvi wa mashabiki

Kwani lazima?

Mumuache Diamond na maisha yake. Kunawasanii wengi hakutanishwe nao. Bila Diamond

Leo umepata ujasiri bora umalizie tu kumwaga ubuyu tusome sie.
 
Huyu jamaa angepiga zigo extended remix na kina Wizkid,Sarkodie,Ice price,khuli chana,aka,redsan,navio ingekuwa balaa.
 
Huyu jamaa angepiga zigo extended remix na kina Wizkid,Sarkodie,Ice price,khuli chana,aka,redsan,navio ingekuwa balaa.

kweli aisee, hivi remix ya wimbo mwisho mara ngapi?
 
WEWE UMEKOSA CHA KUANDIKA HUMU, NYIE KAMA MNAGOMBANA KWASABABU YA WATU AMBAO WAO WENYEWE NI MARAFIKI!!! HUO SI UPUNGUANI KWELI? HEMBU MKAPIGE KAZI HUKO COZ NYIE NI MAJIPU YA KUTUMBUA COZ MMMEJAAA USENGENYAJI NA UMBEA TU
 
Alolianzisha bifu ndo awasuluishee na sio AY has a yule alofanya Chibu azomewe kipindi Cha TIGO concert
 
Story za Vijiwe vya kahawa, Kiba alisimama Muziki kwa kulewa sifa baada Tu ya colabo na R Kelly akaona amemaliza, sasa anatumia nguvu nyingi kurudi, wakati alitakiwa awe mbali na Diamond angekua anaomba ushauri kwake sasa! Alilewa sifa mwenyewe then akaanza kutafuta sababu kwa issue za Unga!
 
Kuna wajinga wataamini hizi fix.
 
It doesn't make any sense . Kiba muziki wake umemshinda mwenyewe acha story za kusadikika sio kila mtu mtoto umu.
 
Mmeona fitina zenu zimegonga mwamba ndo mumtupie mzigo AY Shame on you
 
Mmeona fitina zenu zimegonga mwamba ndo mumtupie mzigo AY Shame on you

sasa mkuu tufanyaje hizi kambi mbili za Zena na Betina ili zipatane na hawa wasanii wetu wakawa marafiki kama Ay na Mwana Fa?
 
WEWE UMEKOSA CHA KUANDIKA HUMU, NYIE KAMA MNAGOMBANA KWASABABU YA WATU AMBAO WAO WENYEWE NI MARAFIKI!!! HUO SI UPUNGUANI KWELI? HEMBU MKAPIGE KAZI HUKO COZ NYIE NI MAJIPU YA KUTUMBUA COZ MMMEJAAA USENGENYAJI NA UMBEA TU

Asante Kwa kuja , tangu ujue msamiati wa jipu basi hatunywi maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…