Legendari Magic Johnson akiwa na Binti yake na Kijana wake!

Kwa hiyo hao wote wanapigwa pipe?
Hapo shida ni baba yake. Magic hakutaka kukataa ujinga wa mtoto wake ili kuwafurahisha mabwana zake wa kiliberali ili aendelee kua tajiri kwa sababu kwa Marekani kama una hisa hisa kwenye makapuni makapuni ya matajiri, ukiponda ushoga uwe mtu kauzu kweli mama Elon Musk otherwise utafilisika.

Marekani vitu 2 tu ndio hutakiwi kuvisema vibaya kama huna roho ngumu, ushoga na kuiponda Israel hasa kuhoji mauaji ya kimbali ya Wayahudi milioni 6.

Hapo mwanaume kauzu anawatafuna wote cumamae, mtu na kaka yake wote wanashikishwa ukuta.
 
Una hasira na chuki mnooo, kwani hata hao wanahitaji ushauri wako? Huyo Magic akataee ujinga wa mwanae ni ujinga upi?

Hisia za mtu ni ujinga? Wee mbona baba ako hakukataa hisia zako hizo? Mxxxxxiiiiiiieeeeeew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…