Leicester City ndiye bingwa!!

Hivi bado mechi 2 ama 3?niweke sawa hapo maana jumla ya timu zipo 20 na kila timu inatakiwa icheze mechi ngapi?
Bado mechi 3 ila ya 3 inacheza timu moja tu hakuna refa, wala timu pinzani ila kuna offside
 
Look at the moment at Jamie Vardy's house


Joy........furaha ni furaha tu haina uzungu, sometimes unaweza kuwa pub ukashangilia hivi halafu mtu mwingine ananuna kuona unaondoa mastress hahaha

 

Haji Manara anaweza kukupa jibu murua
 
Hukana uchawi zaidi ya kuangalia mwenendo wa timu husika dhidi ya timu nyingine.
 
Funny Fact:

May 2nd 1993 | May 2nd 2016

Peter/Kasper Schmeichel win their first Premier League titles, at the age of 29.


 
Yule jamaa atakuwa kawafilisi wale wenye kampuni ya kuchezesha kamari
 
WENZIO TULIJUA TOKA LIGI ILIPOKUWA INAANZA NGOJA NKACHUKUE MPUNGA WANGU NILIMBETIA KING POWER KAMA ANABEBA NDOO.
mkuu embu tupeni ujuzi wa kubet ninyi mlio mamaster wa kubet je! Njurugu unapewatu ukibashiri ni tim ipi itashinda?

Au vigezo na mashariti kuzingatiwa? Yaani mkifungana tabiri mnashindanishwa?

Naomba ufafanuzi mzee wa kubet.
 
Yupi huyo ????
Jamaa alibet Leicester itachukua ubingwa, sasa wale wenye kampuni walivyoona kweli Leicester inaelekea kuchukua ubingwa wakaenda kumuomba jamaa wampe hela kiasi ili ajitoe ktk huo ubashiri maana ingechukua kweli basi jamaa angewatia njaa kali, mara ya mwisho nilisikia jamaa alikataa kujitoa ss cjui itakuwaje
 
mkuu embu tupeni ujuzi wa kubet ninyi mlio mamaster wa kubet je! Njurugu unapewatu ukibashiri ni tim ipi itashinda?

Au vigezo na mashariti kuzingatiwa? Yaani mkifungana tabiri mnashindanishwa?

Naomba ufafanuzi mzee wa kubet.


mkuu kubet sio kazi rahis sikushaur hii kitu inaenda na bahat lazima uchek tarehe zako kifup ni nyota tu unaweza usile miez mi 3 mfululizo hapo inabid uwe na taiming kuchek ni kipind kipi unapiga kuna mwingine haangalii siku ipi kwake iko fresh yy ni kuweka mzigo tu yafaa uzijue vizur timu na zinapokutana inakuwaje sio kwamba ukibet unakula pia upepo wa timu pia unauangalia mfano hao king power walikuwa na upepo mzur ndo mana nkasema sio kazi nyepes pia uwe na vyanzo vya pesa kubet sio kazi ni mchezo wa bahat nasibu kuna kula na kuliwa usipanic wala roho isikuume ikitokea umeliwa ukila shangwe ukikata tamaa ktk kamar ushajitoa kama hujaanza acha.
 
mkuu sasa hii si desi nyingine? Maana unajua mkuu watu wamekuwa wajanja sana katika arakati za kutafuta pesa.

Unaweza ukaidharau buku yako, lakini wakitoa buku watu mia ni shilingi ngapi?

Michezo ihi niyakula ela za watu wasio na upeo wakufikiria, ni ujanja ujanja unaochanganywa na mazinga ombwe na uganga uganga.

Kuwafanya watu wageuke wakina shekh yahya hussein. Wazee wa nyota.

Tufanye kazi jamani hakuna utajiri wa mkato. Utajiri wa mkato ndiyo unao zalisha desi.

Wajanja wachache wanatumia udhaifu wa wengine kujitajirisha.
 


ni kweli mkuu kubet bana haina tofaut na hayo ma desi wanaofaid huu mchezo walio na kipato timu zako 3 huwez kumkosa ndani ya mwez mala mbili au tatu ila kwa buku na jero unasubiri sana bench
 
May 2nd 1993 | May 2nd 2016

Peter & Kasper Schmeichel have become the second father & son duo to win the Premier League title




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…