kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,921
- 7,173
Bado mechi 3 ila ya 3 inacheza timu moja tu hakuna refa, wala timu pinzani ila kuna offsideHivi bado mechi 2 ama 3?niweke sawa hapo maana jumla ya timu zipo 20 na kila timu inatakiwa icheze mechi ngapi?
me bado sielewi..mwanzon kabisa mwa msimu alex ferguson alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari vya pale uk akitoa maoni yake na akasema ana uhakika leicester watakua mabingwa wa msimu huu na leo limetimia hilo..je kuna uhusiano gani hapo au bingwa huwa anaandaliwa mapema?
Hukana uchawi zaidi ya kuangalia mwenendo wa timu husika dhidi ya timu nyingine.me bado sielewi..mwanzon kabisa mwa msimu alex ferguson alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari vya pale uk akitoa maoni yake na akasema ana uhakika leicester watakua mabingwa wa msimu huu na leo limetimia hilo..je kuna uhusiano gani hapo au bingwa huwa anaandaliwa mapema?
Yupi huyo ????Yule jamaa atakuwa kawafilisi wale wenye kampuni ya kuchezesha kamari
mkuu embu tupeni ujuzi wa kubet ninyi mlio mamaster wa kubet je! Njurugu unapewatu ukibashiri ni tim ipi itashinda?WENZIO TULIJUA TOKA LIGI ILIPOKUWA INAANZA NGOJA NKACHUKUE MPUNGA WANGU NILIMBETIA KING POWER KAMA ANABEBA NDOO.
Jamaa alibet Leicester itachukua ubingwa, sasa wale wenye kampuni walivyoona kweli Leicester inaelekea kuchukua ubingwa wakaenda kumuomba jamaa wampe hela kiasi ili ajitoe ktk huo ubashiri maana ingechukua kweli basi jamaa angewatia njaa kali, mara ya mwisho nilisikia jamaa alikataa kujitoa ss cjui itakuwajeYupi huyo ????
huyu mzee ranier. Alionekana kama taka taka pale kidarajani. Mzee wa fukuza fukuza Alipo inunua chelsea Akamfurusha.
Mabingwa wa mioyoni hao hawana shida.dah kheri mana wale arsenal wangechukua ubingwa sijui ingekuaje huku mitaani
mkuu embu tupeni ujuzi wa kubet ninyi mlio mamaster wa kubet je! Njurugu unapewatu ukibashiri ni tim ipi itashinda?
Au vigezo na mashariti kuzingatiwa? Yaani mkifungana tabiri mnashindanishwa?
Naomba ufafanuzi mzee wa kubet.
mkuu sasa hii si desi nyingine? Maana unajua mkuu watu wamekuwa wajanja sana katika arakati za kutafuta pesa.mkuu kubet sio kazi rahis sikushaur hii kitu inaenda na bahat lazima uchek tarehe zako kifup ni nyota tu unaweza usile miez mi 3 mfululizo hapo inabid uwe na taiming kuchek ni kipind kipi unapiga kuna mwingine haangalii siku ipi kwake iko fresh yy ni kuweka mzigo tu yafaa uzijue vizur timu na zinapokutana inakuwaje sio kwamba ukibet unakula pia upepo wa timu pia unauangalia mfano hao king power walikuwa na upepo mzur ndo mana nkasema sio kazi nyepes pia uwe na vyanzo vya pesa kubet sio kazi na mchezo wa bahat nasibu ukiliwa usipanic wala roho isikuume ukikata tamaa ktk kamar ushajitoa kama hujaanza acha.
mkuu sasa hii si desi nyingine? Maana unajua mkuu watu wamekuwa wajanja sana katika arakati za kutafuta pesa.
Unaweza ukaidharau buku yako, lakini wakitoa buku watu mia ni shilingi ngapi?
Michezo ihi niyakula ela za watu wasio na upeo wakufikiria, ni ujanja ujanja unaochanganywa na mazinga ombwe na uganga uganga.
Kuwafanya watu wageuke wakina shekh yahya hussein. Wazee wa nyota.
Tufanye kazi jamani hakuna utajiri wa mkato. Utajiri wa mkato ndiyo unao zalisha desi.
Wajanja wachache wanatumia udhaifu wa wengine kujitajirisha.