Mkuu mpira unadunda. Hata epl kalichukua kwa mtindo huo. Kumbuka sevila ni wa ngapi kule laliga. Leceister hana cha kupoteza anachosaka yeye ni kuweka rekodi tuHako ka Leicester sijui katamtoa nani robo fainali maana kalirukaruka kwa Sevilla kakapaki basi mwisho kakachomoka kimazabe,katatandikwa vibaya robo fainali bahati haiji mara 2.