Kwa sababu hukulianzisha kama ulivyoahidi, au una ids nyingi na hiyo iliyoanzisha ni yako?
Bado una nafasi ya kuyafungua matatu, Crystal Palace, West Ham na Newcastle.
Kama ni wewe ulilifungua bado unasubiri nikuite?
Haya ukuje basi, kaliibuu!
Siipi nafasi kubwa Leicester kutwaa ubingwa, imeanza kwa kasi lakini itakutana na vizingiti kuanzia Januari. Sababu ya kuiona timu hii ni kuwa imekuwa inaadhibu Timu kubwa, yenyewe haijafikia ukomavu wa kuitwa Timu kubwa.
Leicester inacheza kitimu, kila mmoja anajituma na imebahatika kuwa na Vady na Mahrez ambao wakiona nyavu tu, mpira unaokotwa huko. Tayari Vady alionekana akitoka nje akiwa ameshikilia Hamstring, si dalili nzuri. Na pia tayari timu matai zinamnyemelea kumtwaa. Timu inaweza kuwa top 4 lakini ubingwa haina mpira huo kwa sasa.