Lema ana ushirika na shirika la ujasusi la Kenya? George Wajackoya ni jasusi nguli la Kenya, ndilo lilimtorosha Tanzania

Lema ana ushirika na shirika la ujasusi la Kenya? George Wajackoya ni jasusi nguli la Kenya, ndilo lilimtorosha Tanzania

Lema alitumika sana kuvuruga amani ya mji wa Arusha kwa maandamano ya kila mara ili kuharibu image ya nchi na soko la utalii.
 
George Wajackoya ni Jasusi ambalo limeajiriwa na shirika la ujasusi la Kenya, Kuna msemo kwamba jasusi hastaafu. Jasusi huyu ndiye alihusika na "mission" nzima ya kumtorosha Lema Tanzania, akamuweka Nairobi katika makazi ya Siri, na sasa ameingia Tanzania kumpokea.

Lema ni agent wa shirika la ujasusi la Kenya? Wana mikataba ipi na shirika hilo? Je, lina mkataba na CHADEMA? CHADEMA kila wanapofanya vurugu wakaumia, kuna taarifa kwamba huwa wanachukuliwa kwa siri kwenda kutibiwa Kenya, Mdude na Mbowe ni wafaidika wa matibabu.

Kunani kati ya hiki chama na intelligence ya Kenya?

Ngoja inyeshe tujue panapovuja.

View attachment 2532262View attachment 2532651
Daaah kinembe
 
George Wajackoya ni Jasusi ambalo limeajiriwa na shirika la ujasusi la Kenya, Kuna msemo kwamba jasusi hastaafu. Jasusi huyu ndiye alihusika na "mission" nzima ya kumtorosha Lema Tanzania, akamuweka Nairobi katika makazi ya Siri, na sasa ameingia Tanzania kumpokea.

Lema ni agent wa shirika la ujasusi la Kenya? Wana mikataba ipi na shirika hilo? Je, lina mkataba na CHADEMA? CHADEMA kila wanapofanya vurugu wakaumia, kuna taarifa kwamba huwa wanachukuliwa kwa siri kwenda kutibiwa Kenya, Mdude na Mbowe ni wafaidika wa matibabu.

Kunani kati ya hiki chama na intelligence ya Kenya?

Ngoja inyeshe tujue panapovuja.

View attachment 2532262View attachment 2532651
Mbona hata wewe ni jasusi lakini hatukusemi japo mtaani kwetu unajulikana hivyo, kama si mhalifu usimuogope jasusi, jasusi ni sawa na mjusi, haumi.
 
George Wajackoya ni Jasusi ambalo limeajiriwa na shirika la ujasusi la Kenya, Kuna msemo kwamba jasusi hastaafu. Jasusi huyu ndiye alihusika na "mission" nzima ya kumtorosha Lema Tanzania, akamuweka Nairobi katika makazi ya Siri, na sasa ameingia Tanzania kumpokea.

Lema ni agent wa shirika la ujasusi la Kenya? Wana mikataba ipi na shirika hilo? Je, lina mkataba na CHADEMA? CHADEMA kila wanapofanya vurugu wakaumia, kuna taarifa kwamba huwa wanachukuliwa kwa siri kwenda kutibiwa Kenya, Mdude na Mbowe ni wafaidika wa matibabu.

Kunani kati ya hiki chama na intelligence ya Kenya?

Ngoja inyeshe tujue panapovuja.

View attachment 2532262View attachment 2532651
Lema ni agent wa shirika la ujasusi la Kenya?
chiembe kumbe uko so low minded kiasi hiki!?[emoji23] I never expected this from you
 
George Wajackoya ni Jasusi ambalo limeajiriwa na shirika la ujasusi la Kenya, Kuna msemo kwamba jasusi hastaafu. Jasusi huyu ndiye alihusika na "mission" nzima ya kumtorosha Lema Tanzania, akamuweka Nairobi katika makazi ya Siri, na sasa ameingia Tanzania kumpokea.

Lema ni agent wa shirika la ujasusi la Kenya? Wana mikataba ipi na shirika hilo? Je, lina mkataba na CHADEMA? CHADEMA kila wanapofanya vurugu wakaumia, kuna taarifa kwamba huwa wanachukuliwa kwa siri kwenda kutibiwa Kenya, Mdude na Mbowe ni wafaidika wa matibabu.

Kunani kati ya hiki chama na intelligence ya Kenya?

Ngoja inyeshe tujue panapovuja.

View attachment 2532262View attachment 2532651
Mwizi mwenzake wa Magari
 
So,yuko vizuri kuzidi interejinsia yetu yote sio ya kipindi cha jiwe!.

Anyway,ho ngera zake popote alipo,ila mpaka wewe kumjua,basi yamkini ilikuwa kazi ndogo sana
 
Lema alitumika sana kuvuruga amani ya mji wa Arusha kwa maandamano ya kila mara ili kuharibu image ya nchi na soko la utalii.
Kuna wapumbavu hawatakuelewa maana wamekunywa maji ya bendera ya blue
 
Back
Top Bottom