Lema anahitaji ushauri wa saikolojia, hayupo sawa. Atunga kitabu kuhusu Mbowe

Lema anahitaji ushauri wa saikolojia, hayupo sawa. Atunga kitabu kuhusu Mbowe

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Huyu jamaa kama kachanganyikiwa. Sasa Mbowe akimshtaki mahakamani amlipe faini?

Akili hizi ni za kuchanganyikiwa sio za mtu mwenye akili
Screenshot 2025-01-20 212952.png
 
Huyu ndiye alimdanganya Lissu na Heche kwamba wanaweza toboa kwa Mbowe.

Lawama zote atupiwe yeye.
 
Lkn Lema kwa mbowe asijingize kichwa kichwa. Atapigwa faini itabidi hata mwekewe amuweke bond
Mwache ajichanganye..
Ila hata Lisu akipita na Heche kesho hakika si vyema na Lema awe Katibu Mkuu maana wote watatu wana mihemko sana.

Wamtafute Katibu mkuu kidogo mwenye kumudu Emotions.
 
Lissu akipita Lema ataenda kunya mezani kwa mbowe. Jamaa anachuki za wazi wazi kwa Mbowe
Mwache ajichanganye..
Ila hata Lisu akipita na Heche kesho hakika si vyema na Lema awe Katibu Mkuu maana wote watatu wana mihemko sana.

Wamtafute Katibu mkuu kidogo mwenye kumudu Emotions.
 
Mwache ajichanganye..
Ila hata Lisu akipita na Heche kesho hakika si vyema na Lema awe Katibu Mkuu maana wote watatu wana mihemko sana.

Wamtafute Katibu mkuu kidogo mwenye kumudu Emotions.
Kwa siasa za upinzani hasa nyakati hizi zinahitaji Sana watu Aina ya Lema,Lisu na Heche...tafakari
 
Back
Top Bottom