Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaniMbona kama unakimbizwa? Tulia sehemu moja acha kuchanganyikiwa haraka namna hii
Lkn Lema kwa mbowe asijingize kichwa kichwa. Atapigwa faini itabidi hata mwekewe amuweke bondJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Wewe ,malaria yamekimbilia kichwani?Nani
Kwamba mpaka anaanza kuandika, hakuwaza Kuna masuala ya Sheria?.Huyu jamaa kama kachanganyikiwa. Sasa Mbowe akimshtaki mahakamani amlipe faini?
Akili hizi ni za kuchanganyikiwa sio za mtu mwenye akili
Mwache ajichanganye..Lkn Lema kwa mbowe asijingize kichwa kichwa. Atapigwa faini itabidi hata mwekewe amuweke bond
Kwani sheria si hutafsiriwa sheria? Halafu jamaa akivyokuwa na jazba atatafuta mwanasheria?Kwamba mpaka anaanza kuandika, hakuwaza Kuna masuala ya Sheria?.
Hilo bichwa umejaza matope?.
Mwache ajichanganye..
Ila hata Lisu akipita na Heche kesho hakika si vyema na Lema awe Katibu Mkuu maana wote watatu wana mihemko sana.
Wamtafute Katibu mkuu kidogo mwenye kumudu Emotions.
Kwa siasa za upinzani hasa nyakati hizi zinahitaji Sana watu Aina ya Lema,Lisu na Heche...tafakariMwache ajichanganye..
Ila hata Lisu akipita na Heche kesho hakika si vyema na Lema awe Katibu Mkuu maana wote watatu wana mihemko sana.
Wamtafute Katibu mkuu kidogo mwenye kumudu Emotions.
Na wewe andika chako kumhusu Samia
Wakupiga kelele? Kama kaogopa kutoshwa na chama kanda ya Arusha, atamuweza sabaya?Kwa siasa za upinzani hasa nyakati hizi zinahitaji Sana watu Aina ya Lema,Lisu na Heche...tafakari
Raia wa Canada Yuko kaziniHuyu jamaa kama kachanganyikiwa. Sasa Mbowe akimshtaki mahakamani amlipe faini?
Akili hizi ni za kuchanganyikiwa sio za mtu mwenye akili
View attachment 3207874
Kati yako na lema nani anamjua mboe kwa kinaHuyu jamaa kama kachanganyikiwa. Sasa Mbowe akimshtaki mahakamani amlipe faini?
Akili hizi ni za kuchanganyikiwa sio za mtu mwenye akili
View attachment 3207874