Lema apewe heshima ya kuwa mtabiri wa taifa kisiasa

Lema apewe heshima ya kuwa mtabiri wa taifa kisiasa

Wakati anafanya shughuli zake bungeni huwa anaongea mengi sana.

Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.

Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.

Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.

Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.

View attachment 2748698
Lakini kweli walielewa?
 
Huyu enzi zake alimtukana sana jk na kudai eti ni raisi wa awamu moja na lowasa alivyojiunga na chadema akasema ccm inakufa mikononi mwa jk, kilichotokea wao wakahama hadi nchi na jk ndio huyu hapa jadi leo kuwa smart sio lazima ubwabwaje sana
Unayaonaje hayo aliyoyazungumza hapo!

Ana hoja au hana hoja?
 
Wakati anafanya shughuli zake bungeni huwa anaongea mengi sana.

Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.

Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.

Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.

Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.

View attachment 2748698
Sio swala la utabiri ni swala la ukweli tuu kwamba Sheria za Nchi zinamfanya Rais kuwa Mungu mtu.

Huyo huyo mtabiri aliyefanya assumption ya Mwendazake kuwa Malaika ndio huyo aliwafanya wakakimbia Nchi.
 
Wakati anafanya shughuli zake bungeni huwa anaongea mengi sana.

Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.

Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.

Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.

Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.

View attachment 2748698
Nabii asiyejitangaza
 
Nabii mwingine ni NDUGAI!! yeye alisema bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno " nchi inaweza kupigwa mnada". Kwa sasa yuko k,imyaa maana alishasema tayari!!
 
Back
Top Bottom