Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Lakini kweli walielewa?Wakati anafanya shughuli zake bungeni huwa anaongea mengi sana.
Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.
Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.
Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.
Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.
View attachment 2748698
Mwanasiasa yoyote aliyepita mikononi mwa mbowe uwa si wa mchezo mchezo unless auze akili.Tuseme tu ukwel wapinzani ni watu waliopikwa wakaiva haswaaaaa..
Unayaonaje hayo aliyoyazungumza hapo!Huyu enzi zake alimtukana sana jk na kudai eti ni raisi wa awamu moja na lowasa alivyojiunga na chadema akasema ccm inakufa mikononi mwa jk, kilichotokea wao wakahama hadi nchi na jk ndio huyu hapa jadi leo kuwa smart sio lazima ubwabwaje sana
Sio swala la utabiri ni swala la ukweli tuu kwamba Sheria za Nchi zinamfanya Rais kuwa Mungu mtu.Wakati anafanya shughuli zake bungeni huwa anaongea mengi sana.
Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.
Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.
Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.
Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.
View attachment 2748698
Hoja anayo ila cha ajabu huko kwenye chama chake kuna mambo ya hovyo mbona yupo kimya, hata tukimpa nchi yeye it will be worseUnayaonaje hayo aliyoyazungumza hapo!
Ana hoja au hana hoja?
Unalizishwa na mashariti yaliyopo kwenye vipengele kwenye mkataba wa DP WORLD na TPA? Tuanzie hapo kwanzaWamekosa vision wamebakia matusi tu hawana hoja zenye tija kwa wananchi
Nabii asiyejitangazaWakati anafanya shughuli zake bungeni huwa anaongea mengi sana.
Kati ya anayo yaongea mara nyingi huwa yanageuka kuwa ya kweli na kuonekana na kila mtanzania.
Haya ya kuuzwa au kumilikishwa kwa rasilimali za taifa iwe pale Ngorongoro na bandari zetu kumbe tayari mh Lema alisha yazungumza pale bungeni.
Ili taifa letu lisiwe linaingia kwenye misukuko suko kama ya bandari na Ngorongoro basi nashauri wampatie nafasi mh Lema awe ndiye mtabiri mkuu wa mambo ya kisiasa.
Naomba kila Mtanzania amsikilize mh Lema kwenye hii video fupi ataelewa nini namaanisha.
View attachment 2748698