Lema atua Tanga Mjini, ashangaa na kulia baada ya kukuta Watu bado wanaishi kwenye Magofu zama hizi!

Niliuona mjengo wa Mengi pale Machame hatari na Nusu!
 
Hivi na mm siku nikienda kanada na kurudiii nitakuja na ulimbukeni namna hiii??
 
Wamachame waacheni kabisa.
Wameficha mijengo ya hadhi ya Masaki huko migombani kwao.
Kuna akina Lema wa ksmpuni ya Eletai/Joshmal hotel...acheni kabisa.

Fika machamr Mronga uone vitu
Si mbaki kwenu shobo za nn? Tulieni mkoani kwenu kutetea tu ...Mengi kafa iyo mijengo kazikwa nayo ?

Ushamba mzigo tulieni kwenu hatuwataki
 
Si mbaki kwenu shobo za nn? Tulieni mkoani kwenu kutetea tu ...Mengi kafa iyo mijengo kazikwa nayo ?

Ushamba mzigo tulieni kwenu hatuwataki
Acha makasiriko bwashee mimi sio mchagaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ni kweli umasikini huleta hasira lakini punguza jazba🀣🀣🀣
johnthebaptist
 
Ndio sababu analia kwanini hambadiliki?

Kila mkoa ulikuwa na Magofu lakini huyakuti leo isipokuwa hapo kwa wagosi wa kaya!
We mshamba wa wapi magofu mengi ni uirth na sehemu za kihistoria mjini unakuwa kange , unataka watu wajazane pale mjini nenda kaangalie masiwani .

Pale Moshi hamna magofu na manyumba ya zamani.

Jitu lenyewe linaongea ivyo limekunywa mapombe yaani uchafu mtu ..jaribu hata kuwa msafi wa mwili basi sio jilevi linaropoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…