Lema awananga wanaodhani kuyapatia maisha na kukalia kimya kukamatwa kwa Mbowe

Lema awananga wanaodhani kuyapatia maisha na kukalia kimya kukamatwa kwa Mbowe

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Godbless Lema. Ambaye kimsingi ameonyesha uoga na kukimbia nchi yake kuogopa makabiriano ya kisiasa ameibuka na kuwananga watu walionunua IST na VITZ huku wamenyamaza na wameshindwa KUANDAMANA kushinikiza Mbowe kuachiwa.

Yeye kama alinunuliwa v8 na kodi zetu atulie. Sababu kabla ya ubunge alikuwa just dereva wa daladala. Siasa ni kuwashawishi watu na sio kuwananga.

Kama watu hawaoni mantiki katika hoja zao basi wataendelea kuvaa bukta nyeupe na kula muziki katika IST na VITZ zao. Wao wapambane na hali zao katika V8!

Screenshot_20210724-111455_Chrome.jpg
 
Akae ukimbizini huko.

Huku nyumbani kuko sawa tu.

Watanzania hawataki SIASA ZA KUVUTANA NA WATAWALA kufikia kuingiana "maungoni" na kuvunjana miguu.

Yaani Frank wa uswazi aandamane kisa Mbowe AMEINGIZWA NDANI?

Juzijuzi tu VIJANA 370 WA KIMASKINI kule SAUZI AFRIKA waliuawa katika MACHAFUKO kwa kupinga Mh.Zuma kutiwa RUMANDE 🤣🤣

#KaziIendelee
 
Akae ukimbizini huko.

Huku nyumbani kuko sawa tu.

Watanzania hawataki SIASA ZA KUVUTANA NA WATAWALA kufikia kuingiana "maungoni" na kuvunjana miguu.

Yaani Frank wa uswazi aandamane kisa Mbowe AMEINGIZWA NDANI?

Juzijuzi tu VIJANA 370 WA KIMASKINI kule SAUZI AFRIKA waliuawa katika MACHAFUKO kwa kupinga Mh.Zuma kutiwa RUMANDE 🤣🤣

#KaziIendelee
Yaani kadri wanavyofurahia maruzuku na pesa za wazungu wakubaliane na hali zao tu. Hakuna namna
 
Chadema wote magaidi tuu, hawezi kupata nguvu ya kumtetea gaidi mwenzake wakati anamjua vizuri na anaogopa kuongea mengi mana mbowe anaweza kumtaja kwamba wanashirikiana
 
Yaani kadri wanavyofurahia maruzuku na pesa za wazungu wakubaliane na hali zao tu. Hakuna namna
.....ndio GHARAMA hiyo.....

Sasa gharama ya wao "KUPIGA" leo TUIBEBE SISI kwa kuvunjwa miguu na WATAWALA?!!!

Ikiwa tu BOSS is always RIGHT....
Ikiwa tu TAJIRI hakunjiwi ndita na kununiwa....Leo hii TUFANYE MAANDAMANO dhidi ya SERIKALI...SERIKALI...SERIKALI ?!!!

Halafu tuvunjwe miguu....TUTAKWENDA wekewa vyuma BRUSSELS na huko Canada aliko ?!!!

Wanetu watakwenda "kuwekezewa biashara DUBAI NA UINGEREZA alipowekeza mh.Mbowe"?!!!

Are these people sane?!!
Are they sane enough?!!! Khaaa 😲😲

#KaziIendelee
 
Wanataka uwaunge mkono kwa fedha walizochotewa na mabeberu waje walete vurugu wakiwa wameshiba na familia zao , sie hata mia hatuna . Watuache tuhangaike na maisha yetu kila mtu ale kwa jasho lake.
Hapa hakuna siasa ni kujustfy fedha walizopewa ili wasipatwe kuulizwa.Kila mtu apambane na hali yake.
 
Godbless Lema. Ambaye kimsingi ameonyesha uoga na kukimbia nchi yake kuogopa makabiriano ya kisiasa ameibuka na kuwananga watu walionunua IST na VITZ huku wamenyamaza na wameshindwa KUANDAMANA kushinikiza Mbowe kuachiwa.

Yeye kama alinunuliwa v8 na kodi zetu atulie. Sababu kabla ya ubunge alikuwa just dereva wa daladala. Siasa ni kuwashawishi watu na sio kuwananga.

LKama watu hawaoni mantiki katika hoja zao basi wataendelea kuvaa bukta nyeupe na kula muziki katika IST na VITZ zao. Wao wapambane na hali zao katika V8!

View attachment 1865880
Huyu kenge Lema si ndiyo yule anaelishwa ,kula,kulala na kusomeshewa watoto bure ?kama ni yule aliekuwa mbunge wa Arusha mjini ,hiyu hafai kabisa ,ni wa kuchapwa viboko kama wahuni wengin ambao ni watu wazima kama yeye .
 
Godbless Lema. Ambaye kimsingi ameonyesha uoga na kukimbia nchi yake kuogopa makabiriano ya kisiasa ameibuka na kuwananga watu walionunua IST na VITZ huku wamenyamaza na wameshindwa KUANDAMANA kushinikiza Mbowe kuachiwa.

Yeye kama alinunuliwa v8 na kodi zetu atulie. Sababu kabla ya ubunge alikuwa just dereva wa daladala. Siasa ni kuwashawishi watu na sio kuwananga.

Kama watu hawaoni mantiki katika hoja zao basi wataendelea kuvaa bukta nyeupe na kula muziki katika IST na VITZ zao. Wao wapambane na hali zao katika V8!

View attachment 1865880
Hivi Lema huwaga ni kabila Gani?
 
Back
Top Bottom