Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wakuu naona Godbless Lema ameshaamua kuwapongeza wagombea wake mapema akiamini wameshashinda.
Hongereni sana kwa ushindi mkubwa ambao wajumbe wamewapa leo. Sasa mkafanye kazi na mkaheshimu imani mliyopewa na wanachama na wajumbe wa mkutano mkuu. Nimefurahi sana mmeshinda. Retweet this message siku ya Jumatano. Mimi nitakuwa busy na furaha siku hiyo. - Godbless Lema
View attachment 3206280
View attachment 3206298