Pre GE2025 Lema: Hakunaga Mwanasiasa wa Upinzani alikuwa maarufu kama Lyatonga Mrema akajidanganya kuondoka NCCR mageuzi Lakini hiyo TLP iko wapi Leo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Iko huko huko Ukurasani X

Tafuta kwa Kutulia uuone mfano wa Lyatonga Mrema πŸ˜€
 
Hawa jamaa dah....huwaga sipendi kusikia neno CCM itatawala milele ila dah...ngoja niache tu kufuatilia sIasa za nchi hii maana haya madaraka inaonekana siyo CCM tu wenye kiu nayo....
Yaani imefikia chadema wanapigana vijembe hadharani badala ya kumalizana ndani ya vikao vya chama?
Wakikabidhiwa nchi?
 
Ilo nahasema kwa lisu kumshinda mbowe ni ndoto mbowe bado anaushawishi mkubwa sana ndan ya chadema na Ccm

Cha msingi mbowe asigombe bas ila tofauti na apo lisu ajiandae
Kisaikolojia kutukanwa na kutolewa siri zake zote za ndani
 
Nilisema.
Hawawezi kumpa nafasi.
Wapumbavu
 
πŸ˜„
So CDM unaona iko vilevile😁.
In short CCM wanaona ni Bora abaki chairman kuliko hicho chuma kisichopindisha maneno.
Sasa tathmini nani anahitajika kubaki na CCM wanammudu vizuri.
Ya 2015 bado hayajatosha?Bado unazungusha mikono?

Walisema CDM haifiki 2015 inapotea kama livyopotea CUF,NCCR.
 
Tatizo ni umwenyekiti tu. Kwanini mnakataa mtu mwingine akiwa mwenyekiti..? Nyie si chama che demokrasia na maendeleo sasa niwaulize kwanini hamtaki demokrasia iamue..? Lissu mkimkata basi CCM waongoze tu milele maana itakua haina maana unajisifia kuwa ww utaleta demokrasia ila ndani yako kuna uimla
 
Siyo kila wakati mtu huyohuyo akatumiwa na Mungu. Hasa mtu huyo anapojaa kiburi na majivuno
 
Mrema aliishia wapi? Si aliishia maisha yake mazuri tu aliyoyachagua na mwisho akalala zakeahali pema kama ilivyo safari ya wengine?
Udhabilti na udhaifu wa TLP unamhusu Nini yeye asiyekuwepo?
Nani asiyeijua siasa na wanasiasa kuwa kama nyota? Kungaa na kufifia?
 
Chawa namba moja wa Mzee Mbowe anena ,tulijua tu lazima atoe boko πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
Tulishasemaga acheni kupoteza muda na CDM
 
anamlenga kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi tu πŸ’
 
Kwa Kiongozi kugombea nafasi fulani ni hadi uwashambulie wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…