johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Iko huko huko Ukurasani XUzushi. Sema chanzo maana kwenye mtandao wa X hajaandika kitu kama hicho.
Inawzekana hii kauli aliitoa siku nyingi tu ila mnataka kuitumia vibaya baada ya Lissu kutangaza kugombea (propaganda)
Alichoandika huko kwenye mtandao wa X ni hiki:
Kuna tofauti kubwa kati ya minyukano na utovu wa nidhamu. Na jambo la msingi ni kuwa wanachama wetu wengi pengine watakuwa wanajua tofauti zake. Utovu wa nidhamu unaua umoja na upendo na mahusiano. Tuko ktk kipindi cha kawaida sana cha kisiasa ndani ya Chama chetu,isipokuwa kwa namna tunavyo tazama, kufikiri, kutenda ndio inaweza kuwa tatizo au baraka.
Tafuta kwa Kutulia uuone mfano wa Lyatonga Mrema 😀