Pre GE2025 Lema: Hakunaga Mwanasiasa wa Upinzani alikuwa maarufu kama Lyatonga Mrema akajidanganya kuondoka NCCR mageuzi Lakini hiyo TLP iko wapi Leo?

Pre GE2025 Lema: Hakunaga Mwanasiasa wa Upinzani alikuwa maarufu kama Lyatonga Mrema akajidanganya kuondoka NCCR mageuzi Lakini hiyo TLP iko wapi Leo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siasa za Lissu ni confrotational haziwezi kudumu..na hivyo mtu anayeamini kwa mrengo huo asipopata wafuasi wanaofanana nae unakuwa ndio mwisho wa chochote anachofanya, kwa maana hiyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa chama akafanikiwa sababu hao wafuasi wa kufanana nae sio tu CHADEMA hata kwa nchi nzima ni km hawapo, km wapo ni wachache sana..la pili kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania si tu kujua kuongea na kuwa na elimu..inahitaji kujitoa sana kwa rasilimali zako mwenyewe pale inahitajika, mkionyesha hata chumba cha darasa moja tu alichojenga Lissu jimboni kwake wakati akiwa mbunge..niko tayari kufuta huu uzi..Lissu hana sifa ya kuchangia maendeleo kwa kutoa rasilimali toka mfukoni kwake, na kuwa Mwenyekiti wa chama upinzani ni kuwa MLEZI pia..hii sifa Lissu hana! Conclusion..pengine atafaa siku za usoni Mungu akimjalia afya! lkn si kwa sasa..!
kuna jambo jingine CHADEMA wanapaswa kufahamu na nadhani wanafahamu lkn wanachukulia poa..kuna kundi kubwa sana la vijana ndani ya chama ni mamluki..lengo lao ni kuleta fujo kuvuruga MAAMUZI..chama kijihadhari sana na maamuzi yanashinikizwa na vijana..lugha za jazba, ushabiki km wa ccm, matusi, kejeli na dharau na fujo zingine, mkiwafahamu watu hawa dawa ni kutojali sana wanachosema..bahati mbaya hawa ndio wanamsapoti Lissu agombee uenyekiti taifa, kwangu mimi bora kubaki 5 ndani ya chama kuliko kuwa na kundi la vijana 1,000 wa aina ya waliopo CHADEMA kwa sasa.
Akipewa uongozi lazima Lissu abadilike kitabia,mbinu, mtizamo na namna ya kuyaendea mambo. hilo li chama ni kubwa mno kwa sasa. atapaswa apate washauri wazuri na awe msikivu mwenye kupima mambo kwa busara na hekima.
 
Siasa za Lissu ni confrotational haziwezi kudumu..na hivyo mtu anayeamini kwa mrengo huo asipopata wafuasi wanaofanana nae unakuwa ndio mwisho wa chochote anachofanya, kwa maana hiyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa chama akafanikiwa sababu hao wafuasi wa kufanana nae sio tu CHADEMA hata kwa nchi nzima ni km hawapo, km wapo ni wachache sana..la pili kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania si tu kujua kuongea na kuwa na elimu..inahitaji kujitoa sana kwa rasilimali zako mwenyewe pale inahitajika, mkionyesha hata chumba cha darasa moja tu alichojenga Lissu jimboni kwake wakati akiwa mbunge..niko tayari kufuta huu uzi..Lissu hana sifa ya kuchangia maendeleo kwa kutoa rasilimali toka mfukoni kwake, na kuwa Mwenyekiti wa chama upinzani ni kuwa MLEZI pia..hii sifa Lissu hana! Conclusion..pengine atafaa siku za usoni Mungu akimjalia afya! lkn si kwa sasa..!
kuna jambo jingine CHADEMA wanapaswa kufahamu na nadhani wanafahamu lkn wanachukulia poa..kuna kundi kubwa sana la vijana ndani ya chama ni mamluki..lengo lao ni kuleta fujo kuvuruga MAAMUZI..chama kijihadhari sana na maamuzi yanashinikizwa na vijana..lugha za jazba, ushabiki km wa ccm, matusi, kejeli na dharau na fujo zingine, mkiwafahamu watu hawa dawa ni kutojali sana wanachosema..bahati mbaya hawa ndio wanamsapoti Lissu agombee uenyekiti taifa, kwangu mimi bora kubaki 5 ndani ya chama kuliko kuwa na kundi la vijana 1,000 wa aina ya waliopo CHADEMA kwa sasa.

Siasa za Lissu ni confrotational haziwezi kudumu..na hivyo mtu anayeamini kwa mrengo huo asipopata wafuasi wanaofanana nae unakuwa ndio mwisho wa chochote anachofanya, kwa maana hiyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa chama akafanikiwa sababu hao wafuasi wa kufanana nae sio tu CHADEMA hata kwa nchi nzima ni km hawapo, km wapo ni wachache sana..la pili kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania si tu kujua kuongea na kuwa na elimu..inahitaji kujitoa sana kwa rasilimali zako mwenyewe pale inahitajika, mkionyesha hata chumba cha darasa moja tu alichojenga Lissu jimboni kwake wakati akiwa mbunge..niko tayari kufuta huu uzi..Lissu hana sifa ya kuchangia maendeleo kwa kutoa rasilimali toka mfukoni kwake, na kuwa Mwenyekiti wa chama upinzani ni kuwa MLEZI pia..hii sifa Lissu hana! Conclusion..pengine atafaa siku za usoni Mungu akimjalia afya! lkn si kwa sasa..!
kuna jambo jingine CHADEMA wanapaswa kufahamu na nadhani wanafahamu lkn wanachukulia poa..kuna kundi kubwa sana la vijana ndani ya chama ni mamluki..lengo lao ni kuleta fujo kuvuruga MAAMUZI..chama kijihadhari sana na maamuzi yanashinikizwa na vijana..lugha za jazba, ushabiki km wa ccm, matusi, kejeli na dharau na fujo zingine, mkiwafahamu watu hawa dawa ni kutojali sana wanachosema..bahati mbaya hawa ndio wanamsapoti Lissu agombee uenyekiti taifa, kwangu mimi bora kubaki 5 ndani ya chama kuliko kuwa na kundi la vijana 1,000 wa aina ya waliopo CHADEMA kwa sasa.
mkuu wewe mbona mwoga wa mabadiliko kwenye taasisi kwa namna hii? CDM ni chama cha siasa na kinajinasibu kufuata demokrasia; kwa vile ni taasisi ya umma hakuna uhalali wa kuwa na mwenyekiti mmoja muda wote huo huku kikililia demokrasia kwenye ulingo wa siasa; ukisema ni lazima mwenyekiti awe na uwezo mfukoni wa kufanya shughuli fulani za chama unataka tuamini kuwa hiyo ni taasisi ya mtu binafsi na hapaswi kuiachia kwa wengine ambao yumkini wana uwezo wa kuiongoza na zaidi ya ilipo.
 
Assad alishinda kwa zaidi ya 93% Bado wakamtoa madarakani kwa Aibu na nguvu... Kitendo Cha Mbowe kuendelea kung'ang'ania uenyekiti ni jambo baya kidemocracy na kitaasisi hasa ya umma, lazima kuwepo na succession plan
Kwani mbowe yeye kalalamika kuhusu lisu kuchuana naye!
Huko ccm tu usitegemee kuona mtu anachukua form kuchuana na saa100 hilo hutaliona na hakuna akatayejitokeza

Ova
 
Akipewa uongozi lazima Lissu abadilike kitabia,mbinu, mtizamo na namna ya kuyaendea mambo. hilo li chama ni kubwa mno kwa sasa. atapaswa apate washauri wazuri na awe msikivu mwenye kupima mambo kwa busara na hekima.
Huwezi kuingia nafasi kuongoza kwa kutegemea washauri..sayansi inasema upo umri wa kubadilika tabia, kuongea, nk..Lissu hawezi kubadilika!
 
Kwani mbowe yeye kalalamika kuhusu lisu kuchuana naye!
Huko ccm tu usitegemee kuona mtu anachukua form kuchuana na saa100 hilo hutaliona na hakuna akatayejitokeza

Ova
Machawa wa mzee mbowe ndio wameanza kutoa mapovu balaaa
 
77c0bdb01743bae47396f9abfb796dd4.jpg
 
mkuu wewe mbona mwoga wa mabadiliko kwenye taasisi kwa namna hii? CDM ni chama cha siasa na kinajinasibu kufuata demokrasia; kwa vile ni taasisi ya umma hakuna uhalali wa kuwa na mwenyekiti mmoja muda wote huo huku kikililia demokrasia kwenye ulingo wa siasa; ukisema ni lazima mwenyekiti awe na uwezo mfukoni wa kufanya shughuli fulani za chama unataka tuamini kuwa hiyo ni taasisi ya mtu binafsi na hapaswi kuiachia kwa wengine ambao yumkini wana uwezo wa kuiongoza na zaidi ya ilipo.
Kwanza elewa chama kisingefika hapo km si uwezo binafsi wa baadhi ya watu ndani ya chama kifedha na kimtazamo kulingana na mazingira ya siasa za Tanzania kwamba ukiwa mwanachama wa chama cha upinzani wewe ni adui wa serikali na pengine nchi..ni gharama kubwa sana kuwa kiongozi wa chama cha Upinzani Tanzania na ukafanikiwa kukiweka chama hapo kilipo Chadema..demokrasia ina sura nyingi kulingana na mazingira ya mahali husika na malengo kadiri mambo yanavyobadilika..usikariri demokrasia km dogma kijana! Hakuna woga..ni kuelewa tu uhalisia mkakubaliana kwenda pamoja ili mfike mnakokwenda.
 
Unapohisi wewe ni maarufu kuliko taasisi unayoiongoza ndipo tatizo huanzia.

Kumbuka habari za yule mwanapunda aliyembeba Yesu.
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini amesema Wanasiasa wa Upinzani wasilewe Sifa na umaarufu kwani huko nyuma walikuwepo akina Lyatonga Mrema Lakini walipoishia kila mtu anajua

Lema ameuliza " iko wapi TLP Leo hii?"

Sijajua Lema anamlenga Mwanasiasa gani wa Upinzani?!!! 🐼

Jumaa Mubarak 😂
TAL bila shaka kaupata ujumbe
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini amesema Wanasiasa wa Upinzani wasilewe Sifa na umaarufu kwani huko nyuma walikuwepo akina Lyatonga Mrema Lakini walipoishia kila mtu anajua

Lema ameuliza " iko wapi TLP Leo hii?"

Sijajua Lema anamlenga Mwanasiasa gani wa Upinzani?!!! 🐼

Jumaa Mubarak 😂
Akumbushwe tu kuwa A.L. Mrema alikuwa chawa wa MAVEGITEBO, ukisha kuwa chawa wa Mamboga basi you lose all the credibility. Nawaza tu.:RareWolf:
 
Back
Top Bottom