Lema, kila siku unasema Land Cruiser V8 unaweza kujenga madarasa mengi leo unataka raia wachange wamnunulie Mbowe Gari Toyota Land Cruiser V8


Mpuuzi sana huyu.
FAM hana shida ya magari alafu si bado yupo chamani (Mjumbe wa kudumu wa kamati kuu)
 
Una hoja. Ungeweza kuwa na busara lakini busara yako inaishia pale unaanza kutukana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…