Pre GE2025 Lema: Maisha yamekuwa magumu sana. Kula Wali Nyama ni hadi Uvizie buffet kwenye Misiba ya Matajiri

Pre GE2025 Lema: Maisha yamekuwa magumu sana. Kula Wali Nyama ni hadi Uvizie buffet kwenye Misiba ya Matajiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wengi saana wanajifariji mitandaoni lakini hali halisi ndiyo hiyo!! Mikate inaozea madukani . Chips dume sasa hivi ndiyo habari ya mjini , miguu na vichwa vya kuku wa mwezi mmoja au wiki tatu na nusu vinaanza kununuliwa na kuisha kabla ya kuwekwa kabatini. Watanzania tukubali hali halisi siyo kujifariji.
 
Lema mkanada ni muongo sana!
Jibu hoja. Watoto wako au wadogo zako wamekula nyama mara ya mwisho lini? Nyama Morogoro 9000/= Mbeya 8000/= Kilo. Dar sijui. Huko kwenu sijui. Moshi wa mwenge umekudumaza ubongo. Hv Mimi nasubiri kuna Harusi Jirani Jumamosi tusogee. Usinicheke hali siyo shwari!
 
Serekali ina mapungufu ila huu ni uongo
Kasema kweli japo hajiongelei yeye. Mabuchani nyama zinalala kila siku. Watanzania wengi hawali nyama sababu ya umasikini, mboga imekuwa dagaa (this is as far as they can go) yani hata samaki tu kula ni kwa mbinde
 
Jibu hoja. Watoto wako au wadogo zako wamekula nyama mara ya mwisho lini? Nyama Morogoro 9000/= Mbeya 8000/= Kilo. Dar sijui. Huko kwenu sijui. Moshi wa mwenge umekudumaza ubongo. Hv Mimi nasubiri kuna Harusi Jirani Jumamosi tusogee. Usinicheke hali siyo shwari!
KIla ninapojiskia kula nyama nakula kama anavyokula yeye lema aache kuwajaza ujinga!
 
Hivi awamu hii mkondo unaotiririsha fedha kutoka kwa mama ni wa aina gani? Mana unaweza tegesha mkondo halafu hela unaziona kwa jirani
 
Back
Top Bottom