Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM inaleta matabaka makubwa haswaMi ni chama tawala mkuu, Yani tangu juzi mke wangu na wanangu wanauliza tutapika lini wali nyama?? Kuna watu wanazo fweza na Kuna watu hawana... Yani Kuna tabaka kubwa sana linajijenga kwa haraka la wenye wali nyama na sisi wa ugali kabichi