Lema na CHADEMA hawaijui "The National Payments System Act of 2015" isiyotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY

Lema na CHADEMA hawaijui "The National Payments System Act of 2015" isiyotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.

Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa "ACT" kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....

"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".

Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha

#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !
 
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.

Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa ACT kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....

"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".

Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha

#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !
Samahani wewe ni KE ama ME?
 
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.

Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa "ACT" kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....

"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".

Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha

#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !
lema na kiongozi wake ni vibaka wa kisiasa nchini, wapuuzwe tu 🐒
 
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.

Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa "ACT" kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....

"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".

Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha

#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !
Hivi serikali kuyapiga biti mahoteli wasiwape hall la kufanyia mkutano hawaoni kama ni upuuzi uliokithiri? Wao kama serikali wanategemea kodi, hii nchi inakuwa masikini kwa upuuzi wa siasa. Wamejiongeza wakafanyia kwenye ofisi zao kwa upuuzi wa serikali kukosa maono na kuzikosesha hotels pesa na wao kukosa kodi.
 
Akili zake zinamtoshaga mwenyewe saa zingine.
Ha ha ha na alivyo mjinga eti inasema "....kama sheria zitamruhusu...".
Sheria imetungwa mwaka 2015....kabla hata hajakwenda Canada kula "bata" kwa njia za visingizio ha ha ha kweli Lema mtu wa vituko.....
 
Hawezi kuweka, maana Lema amesema “kama tukiruhusiwa” hii inamaana haitumiki bado lakini serikali ikija kuona inafaa wanaweza ruhusu.
....kwa hiyo hilo "bakuli la michango " linasubiri mabadiliko ya hiyo sheria ?!! Ha ha ha hauko serious ,!
 
Hivi serikali kuyapiga biti mahoteli wasiwape hall la kufanyia mkutano hawaoni kama ni upuuzi uliokithiri? Wao kama serikali wanategemea kodi, hii nchi inakuwa masikini kwa upuuzi wa siasa. Wamejiongeza wakafanyia kwenye ofisi zao kwa upuuzi wa serikali kukosa maono na kuzikosesha hotels pesa na wao kukosa kodi.
Wanacheza tu, utafanya hadi lini? Chadema ni imani unauaje uislamu au ukristo mioyoni kwa watu? Tumia nguvu kujidhalilisha tu kama yule polisi mama wa Geita na watoto wasio na ajira mwisho utakubali tu
 
Back
Top Bottom