Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.
Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa "ACT" kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....
"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".
Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha
#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.
Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa "ACT" kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....
"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".
Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha
#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !