Lema na CHADEMA hawaijui "The National Payments System Act of 2015" isiyotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY

Lema na CHADEMA hawaijui "The National Payments System Act of 2015" isiyotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY

Ha ha ha na alivyo mjinga eti inasema "....kama sheria zitamruhusu...".
Sheria imetungwa mwaka 2015....kabla hata hajakwenda Canada kula "bata" kwa njia za visingizio ha ha ha kweli Lema mtu wa vituko.....
Ana matatizo, ngoja nimsikilize; kwa sababu ni kipi kwanza ambacho kinamzuia mtu kufanya transfer ya crypto kwenda kwenye account yake.

Sometimes ni kuongea tu kujifanya ujuaji wa mambo. Ndio maana nimetaka kumsikiliza.
 
Sheria iko ACTIVE...na wao wanaihitaji hiyo michango....sasa michango itasubiri mabadiliko ya sheria ilihali pana ukata ,waya mkali hapo makaoni kwao ?!!
Hiyo ni extra option tu kijana zingine zinafanya kazi fweza zinaingia tu kama kawa, itakuja na roho mbaya wakati wanaume wanasonga mbele kukomboa nchi toka kwa mafisadi
 
Hiyo ni extra option tu zingine zinafanya kazi fweza zinaingia tu kama kawa, itakuja na roho mbaya wakati wanaume wanasonga mbele kukomboa nchi toka kwa mafisadi
....LBL walikamatwa kuisigina sheria ya BOT.....kwa hiyo Lema na wenzake wanavunja sheria ya FEDHA hadharani ,si ndio meku ?!!
 
Sheria iko ACTIVE...na wao wanaihitaji hiyo michango....sasa michango itasubiri mabadiliko ya sheria ilihali pana ukata ,waya mkali hapo makaoni kwao ?!!
Accounts za michango zote ziko wazi. Onyesha hiyo Crypto Address ya chadema inayopokea michango.
 
Wanajua sana! Na baadhi yao walipokuwa Wabunge wa CDM wamechangia Mijadala ya Cryptocurrency akiwemo Lema mwenyewe! Bunge ni chombo cha kutunga Sheria! Sasa kama Mbunge kwa nini asijue sheria za BOT ambazo zinakaza matumizi ya Cryptocurrency?
Mkuu CHADEMAPHOBIA inawatesa ninyi wa upande ule!

View: https://youtu.be/xlpyhiiOHBI?si=_kjctfalMENEDnXL
 
....LBL walikamatwa kuisigina sheria ya BOT.....kwa hiyo Lema na wenzake wanavunja sheria ya FEDHA hadharani ,si ndio meku ?!!

Kwa hiyo mama yetu na mawaziri vijana kadhaa wanavunja sheria yao? Mama kahifadhi za kutosha na mawaziri wake, wakiwa nazo chadema dhambi na sheria zimevunjwa? Wao wanazitaoje? Mbona mama yetu kalipwa crypto nyingi tu?

Hauhitaji kibali cha mtu wala taasisi yoyote duniani kumiliki asset kwenye blockchain kijana, na hao watungasheria wanaogonga meza deile hawajui lolote wanapoletewa sheria kupitisha wanagonga tu maisha yaende.

Halafu mama yetu hapa alikua anapromote nini?



View: https://www.youtube.com/watch?v=88vRH-iqET0

Jielimishe kijana...
 
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.

Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa "ACT" kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....

"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".

Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha

#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !
Umeandika ujinga tupu. Tulia usubiri kupewa chumvi na viberiti hapo octoba
 
Wako hoi kiuchumi ,taabani kifedha.
Makao makuu ya Chadema yana ukata na njaa kali....mara wanakimbilia ubalozi wa Norway tusipate misaada (dola milioni 7.)kila fiscal year.Mara uchaguzi mkuu usiwepo ,kumbe yote ni "nakama" ,waya mkali ,ulofa hapo makaoni.

Makamu Mwenyekiti ndg.Lema anawayawaya kwa kutofahamu kuwa BOT imeshatoa "ACT" kutotambua matumizi ya CRYPTOCURRENCY hapa nchini....

"The National Payments System Act of 2015" inakataza "unlicenced digital payments".

Lema bana anawaangusha "makamanda" wanaopelekwapelekwa kama MANYUMBU ,ha ha ha ha

#Mama Samia anaupiga mwingi sanaaaa !
Tuliza boli dogo mpira pass wacha watu wafanye kazi
 
Kwa hiyo mama yetu na mawaziri vijana kadhaa wanavunja sheria yao? Mama kahifadhi za kutosha na mawaziri wake, wakiwa nazo chadema dhambi na sheria zimevunjwa? Wao wanazitaoje? Mbona mama yetu kalipwa crypto nyingi tu?

Hauhitaji kibali cha mtu wala taasisi yoyote duniani kumiliki asset kwenye blockchain kijana, na hao watungasheria wanaogonga meza deile hawajui lolote wanapoletewa sheria kupitisha wanagonga tu maisha yaende.

Halafu mama yetu hapa alikua anapromote nini?



View: https://www.youtube.com/watch?v=88vRH-iqET0

Jielimishe kijana...
much appreciations kwako, umenisaidia pakubwa sana kunifumbua macho na kunijuza kuwa mleta mada ndugu Mkunazi Njiwa ni Kilaza aliyetukuka popoma kabisaaaa
 
much appreciations kwako, umenisaidia pakubwa sana kunifumbua macho na kunijuza kuwa mleta mada ndugu Mkunazi Njiwa ni Kilaza aliyetukuka popoma kabisaaaa

Haina shaka kiongozi tunajifunza wote, japo huyu mkubwa hajui anachokisema wanafanya siasa maji choo tu hata kwa vitu wasivyojua!
 
Hawezi kuweka, maana Lema amesema “kama tukiruhusiwa” hii inamaana haitumiki bado lakini serikali ikija kuona inafaa wanaweza ruhusu.

Hamna mwenye control ya assets ndani ya bockchain hata hicho kibiotii hata US treasury au yeyote acha kutishwa na hawa uvccm wanajua kutumia manguvu tu na kuua watu hawana ufahamu wa mambo complex kama haya!
 
Back
Top Bottom