Pre GE2025 Lema, nakusalimu huko uliko, au unasogeza muda kidogo hili lipoe? Karibu

Pre GE2025 Lema, nakusalimu huko uliko, au unasogeza muda kidogo hili lipoe? Karibu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
#Tetemeko2025.

Lemma ni moja ya wanasiasa wapenda maendeleo, na anakubalika na wananchi wa itikadi zote. Hata mimi namkubali, na ninamuunga mkono.

Mara baada ya Msigwa kushindwa uenyekiti Nyasa, mara moja Lemma alitangaza kutogombea uenyekiti kanda ya kaskazini
 
Back
Top Bottom