Lema ni nani hadi watu wahangaike kumjibu?

Lema ni nani hadi watu wahangaike kumjibu?

Rege

Senior Member
Joined
Jul 9, 2022
Posts
117
Reaction score
153
Godbless Jonathan Lema hana dhamana yoyote katika nchi hii, Lema sio Mwenyekiti wa Kitongoji, Sio Mwenyekiti wa Mtaa, sio Mwenyekiti wa Kijiji, sio Diwani na wala sio Mbunge.

Inakuwaje watanzania badala ya kumpuuza wanaendelea kumjadili mtu ambaye hana dhamana yoyote mbele ya umma wa watanzania.

Ni muhimu kuwa makini na kujibu watu wasio na dhamana yoyote mbele ya umma kwani ni hatari kuingia mabishano na mtu ambaye anaweza kuamua leo akaondoka nchini akaenda kuishi uhamishoni hata miaka yote ya maisha yake.
 
Godbless Jonathan Lema hana dhamana yoyote katika nchi hii, Lema sio Mwenyekiti wa Kitongoji, Sio Mwenyekiti wa Mtaa, Sio Mwenyekiti wa Kijiji, Sio Diwani na wala sio Mbunge.

Inakuwaje watanzania badala ya kumpuuza wanaendelea kumjadili mtu ambaye hana dhamana yoyote mbele ya umma wa watanzania.

Ni muhimu kuwa makini na kujibu watu wasio na dhamana yoyote mbele ya umma kwani ni hatari kuingia mabishano na mtu ambaye anaweza kuamua leo akaondoka nchini akaenda kuishi uhamishoni hata miaka yote ya maisha yake.
Tunamjibu kichaa anayepewa jukwaa la kutukana hadharani. Angeishi kama vichaa wengine wala tusingehangaika naye.
 
Yapo anayoongea yana make sense lakini hayana Tina yoyote kwenye uchaguzi wa 2025. Nadhani angeongea mengine ya maana zaidi angeeleweka
Kama haupo smart kichwani huwezi Kupata concepts za Lema

Nchi hii vijana wengi wamegeuzwa msukule
Mpaka aibu eti bodaboda ni ajira

Nikiangalia wanawake wanavyojiuza kwa Bei sawa na bure hasa wake za watu ni Aibu Sana

Unakuta Mama na mtoto wake wote wanatombwa ili tu wapate kula Yao ya siku Aibu Sana .

Lema anajaribu kugusia Mambo muhimu eti vicoba it about fucking Life peoples are going through
 
Kama haupo smart kichwani huwezi Kupata concepts za Lema

Nchi hii vijana wengi wamegeuzwa msukule
Mpaka aibu eti bodaboda ni ajira

Nikiangalia wanawake wanavyojiuza kwa Bei sawa na bure hasa wake za watu ni Aibu Sana

Unakuta Mama na mtoto wake wote wanatombwa ili tu wapate kula Yao ya siku Aibu Sana .

Lema anajaribu kugusia Mambo muhimu eti vicoba it about fucking Life peoples are going through
Wanawake wanaojiuza walikukosea nini? Haipiti siku hujacomment kuhusu wao.

Wanaojiuza wapo na wataendelea kuwepo zaidi jinsi miaka inavyoenda. Na si ajabu kazi yao ikahalalishwa na serikali ikajipatia mapato.

Tunayo mengi kama taifa ya kurekebisha na kuyaweka sawa na si ukahaba.
 
Godbless Jonathan Lema hana dhamana yoyote katika nchi hii, Lema sio Mwenyekiti wa Kitongoji, Sio Mwenyekiti wa Mtaa, sio Mwenyekiti wa Kijiji, sio Diwani na wala sio Mbunge.

Inakuwaje watanzania badala ya kumpuuza wanaendelea kumjadili mtu ambaye hana dhamana yoyote mbele ya umma wa watanzania.

Ni muhimu kuwa makini na kujibu watu wasio na dhamana yoyote mbele ya umma kwani ni hatari kuingia mabishano na mtu ambaye anaweza kuamua leo akaondoka nchini akaenda kuishi uhamishoni hata miaka yote ya maisha yake.
1678978620505.png
 
Ufipa wanamuita nabii mbeba maono
Nabii hupimwa kwa kutimia kwa unabii wake, alimuonya jiwe aache uovu la sivyo atakufa akashupaza shingo na hatima yake wote tuliona utabiri ukitimia,alimuonya Sabaya asimtegemee mwanadamu jiwe kwani akiondoka atapata shida sana na ikawa hivyo, alimuonya Ndungai aache uonevu la sivyo jambo baya litamkuta na kweli ikawa hivyo,bado unatilia shaka unabii wa Nabii Lemma?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nabii hupimwa kwa kutimia kwa unabii wake, alimuonya jiwe aache uovu la sivyo atakufa akashupaza shingo na hatima yake wote tuliona utabiri ukitimia,alimuonya Sabaya asimtegemee mwanadamu jiwe kwani akiondoka atapata shida sana na ikawa hivyo, alimuonya Ndungai aache uonevu la sivyo jambo baya litamkuta na kweli ikawa hivyo,bado unatilia shaka unabii wa Nabii Lemma?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yaani lema amuonye jiwe?
Aisee
 
Godbless Jonathan Lema hana dhamana yoyote katika nchi hii, Lema sio Mwenyekiti wa Kitongoji, Sio Mwenyekiti wa Mtaa, sio Mwenyekiti wa Kijiji, sio Diwani na wala sio Mbunge.

Inakuwaje watanzania badala ya kumpuuza wanaendelea kumjadili mtu ambaye hana dhamana yoyote mbele ya umma wa watanzania.

Ni muhimu kuwa makini na kujibu watu wasio na dhamana yoyote mbele ya umma kwani ni hatari kuingia mabishano na mtu ambaye anaweza kuamua leo akaondoka nchini akaenda kuishi uhamishoni hata miaka yote ya maisha yake.
Wewe una nini? Lema ni Public figure, vipi wewe na fake ID zako humu nani anakujua? Lema hata akifa leo nchi nzima watajua, wewe ukifa zaidi ya ndugu zako na jamaa zako nani mwingine atajua?
 
Back
Top Bottom