Lema ni noma anastahili tuzo

Wanawake wengi kutoka africa wakifika huko hubadilika,kinachowapa kiburi sheria zinawalinda pili benefit wanazopewa na serikali,tumeshaona watu wengi wanakuwa homeless kwasababu ya wanawake
Ni wachache sana siyo wote wanaoenda wanafanya hivyo.
 
Soon tutasikia"Lema agombea ukatibu mkuu wa UN"wafipa kwa uzushi mkovizuri sana.
 
Mwamba wapi anahubiri No fear halafu anatoroka nchi akiwa kavaa baibui eti naogopa usalama wangu hiyo no fear alikuwa akimhubiria nani?
dah watoto wanachezea simu ya jamaa ,namuombea radhi jamaa ni makini kaandika binti yake wa miaka 4 ,ankooo achiaa asimuuu
 
Webumunda la chattle na Canada wapi na wapi
 
Kumbuka alisema "kuna watu wamemwambia wametumwa wakamuue" je unadhani hao watu walishindwa kufacilitate hiyo escape?
 
Hapo mstari w a mwisho, wewe jamaa ni muongo wa kiwango cha Reli ya mwendokasi.
 
Ni wachache sana siyo wote wanaoenda wanafanya hivyo.
Ni kumwomba mungu tu ya sikukute,ndoa nyingi zinavunjika tunamtakia kila la heri huko aliko,pia aitahidi sana kuwalinda watoto kuna Tabia za ajabu sana kwenye hiyo nchi
 
Kuna mtu naye walienda na mkewe,kufika huko mke akabebwa na mxungu akaachiwa manyoya
 
We phaller unawaza ngono tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Mwamba wapi anahubiri No fear halafu anatoroka nchi akiwa kavaa baibui eti naogopa usalama wangu hiyo no fear alikuwa akimhubiria nani?
 
Ni kumwomba mungu tu ya sikukute,ndoa nyingi zinavunjika tunamtakia kila la heri huko aliko,pia aitahidi sana kuwalinda watoto kuna Tabia za ajabu sana kwenye hiyo nchi
Canada kuna tabia gani mbaya mkuu..me naona pako powa sana kuhusu maadili hata Saudia Arabia japo ni nchi ya dini kuna mambo ya ajabu ajabu..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Lema the National treasure welcome back
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…