MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Hisia zako tu dhaifu kama hisia za walioenda kujisweka huko ughaibuni.Hata sugu wamemweka kipolo tu mark my words...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hisia zako tu dhaifu kama hisia za walioenda kujisweka huko ughaibuni.Hata sugu wamemweka kipolo tu mark my words...
Ni wachache sana siyo wote wanaoenda wanafanya hivyo.Wanawake wengi kutoka africa wakifika huko hubadilika,kinachowapa kiburi sheria zinawalinda pili benefit wanazopewa na serikali,tumeshaona watu wengi wanakuwa homeless kwasababu ya wanawake
dah watoto wanachezea simu ya jamaa ,namuombea radhi jamaa ni makini kaandika binti yake wa miaka 4 ,ankooo achiaa asimuuuMwamba wapi anahubiri No fear halafu anatoroka nchi akiwa kavaa baibui eti naogopa usalama wangu hiyo no fear alikuwa akimhubiria nani?
Webumunda la chattle na Canada wapi na wapiKwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuja kurudi Tanzania bila mke
Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno
Kumbuka alisema "kuna watu wamemwambia wametumwa wakamuue" je unadhani hao watu walishindwa kufacilitate hiyo escape?Huyu mwamba ni hatarii techniques alizotumia si za kawaida ni military offensive techniques alitumia kama countersugency na hit and run.
Lema ni akili kubwa yani mbinu za medani alizoapply pale border na uhakika baadhi ya wanausalama wameshafukuzwa kazi na kuhamishwa. Siyo hizi mbinu za medani za kuibia watu korosho.
Hapo mstari w a mwisho, wewe jamaa ni muongo wa kiwango cha Reli ya mwendokasi.Kwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuja kurudi Tanzania bila mke
Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno
Ni kumwomba mungu tu ya sikukute,ndoa nyingi zinavunjika tunamtakia kila la heri huko aliko,pia aitahidi sana kuwalinda watoto kuna Tabia za ajabu sana kwenye hiyo nchiNi wachache sana siyo wote wanaoenda wanafanya hivyo.
Kuna mtu naye walienda na mkewe,kufika huko mke akabebwa na mxungu akaachiwa manyoyaSio wakubwa watoto Canada kunawafaa vijana waliomaliza vyuo vikuu sio watoto saizi ya wa Lema.Kuhusu mke kuzaliwa kijijini sio shida canada itambadilisha mark my words heri angembilia ujerumani hata ubelgiji lakini Canada hapana kubaya mno kwenda na familia muda sio mrefu ataelewa nilichoandika
We phaller unawaza ngono tuKwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuja kurudi Tanzania bila mke
Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno
Waoga wote wako CCM.Mwamba wapi anahubiri No fear halafu anatoroka nchi akiwa kavaa baibui eti naogopa usalama wangu hiyo no fear alikuwa akimhubiria nani?
Mwamba wapi anahubiri No fear halafu anatoroka nchi akiwa kavaa baibui eti naogopa usalama wangu hiyo no fear alikuwa akimhubiria nani?
Canada kuna tabia gani mbaya mkuu..me naona pako powa sana kuhusu maadili hata Saudia Arabia japo ni nchi ya dini kuna mambo ya ajabu ajabu..Ni kumwomba mungu tu ya sikukute,ndoa nyingi zinavunjika tunamtakia kila la heri huko aliko,pia aitahidi sana kuwalinda watoto kuna Tabia za ajabu sana kwenye hiyo nchi
Canada kuna tabia gani mbaya mkuu..me naona pako powa sana kuhusu maadili hata Saudia Arabia japo ni nchi ya dini kuna mambo ya ajabu ajabu..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Nenda kaishi ndio utajua pakojeCanada kuna tabia gani mbaya mkuu..me naona pako powa sana kuhusu maadili hata Saudia Arabia japo ni nchi ya dini kuna mambo ya ajabu ajabu..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app