Pre GE2025 Lema: Sitagombania ubunge Arusha mjini

Pre GE2025 Lema: Sitagombania ubunge Arusha mjini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.

Pia, Soma: Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
 
Wakuu,

Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.

Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Arusha hakutakuwa na uchaguzi . Wauaji wamepewa ule mkoa kwa hio kama unataka kufa nenda.

Wewe mpaka marekani akak wa dunia ame mredflag mtu kwamba ni muuaji halafu uende tu ukagombee hapo alipo
 
Arusha hakutakuwa na uchaguzi . Wauaji wamepewa ule mkoa kwa hio kama unataka kufa nenda.

Wewe mpaka marekani akak wa dunia ame mredflag mtu kwamba ni muuaji halafu uende tu ukagombee hapo alipo
huo ni unyumbu wa kiwango cha juu sana makonda jitihada za kupinga ushoga ndiyo ziliwafanya wamarekani wamzuie kwenda kwao kisa wao wanaunga mkono hayo mambo muuaji kamuua nani acheni upumbavu
 
Wakuu,

Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.

Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Lema anatia huruma sana dah!🐒
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Nani atamchagua ? Na hata kipndi alichokuwa mmbunge alifanya cha maana, ? Anao washauri wazuri,,,,wamemsomea alama za nyakati,, simply finished, hana anachoweza ku-offer
 
Back
Top Bottom