mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
subiri uone mazingaumbwe ya ccm ndio utaelewa kwanini nimesema hivyo. ikifika mwezi wa 7 fufua uzi huu upya.CCM itasimamisha wagombea wawili wapambane?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiri uone mazingaumbwe ya ccm ndio utaelewa kwanini nimesema hivyo. ikifika mwezi wa 7 fufua uzi huu upya.CCM itasimamisha wagombea wawili wapambane?
picha linaanzia hapa.CCM itasimamisha wagombea wawili wapambane?
Godbless Lema,anajitambua!。Wakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Mbona hakubisha wamarekani walivyosema yy amekua akidhulum watu uhai ? Yy hakukataa mahali popote na hajawai kukataa na hatakaa aje kukataa kua hajawai kudhulum uhai wa mtu!!huo ni unyumbu wa kiwango cha juu sana makonda jitihada za kupinga ushoga ndiyo ziliwafanya wamarekani wamzuie kwenda kwao kisa wao wanaunga mkono hayo mambo muuaji kamuua nani acheni upumbavu
Hakuna cha kushangaza ukishapewa Assylum Canada ni miaka mitatu mpaka mitano unapata Uraia.Lema kihistoria hana uadilifu, alikuwa mwizi wa magari; aliingia siasa kwa maslahi binafsi akakopa mamilioni benki ambayo sina hakika kama amelipa yote. Siasa imemuwezesha yeye, mkewe na watoto kupata maisha yenye posho nono huko Canada huku wanawe wakipata elimu nzuri; siasa kwake ni kazi sio matatizo kama anavyodanganya na ni mtu wa kupima upepo kipi kizuri zaidi kwa wakati husika na kukichangamkia
Ngonjera zote kuhusu CHADEMA ni katika kutafuta maslahi si kutetea watu.
Usishangae mkija kusikia familia yake imepewa uraia wa Canada.
Ushauri kutoka kwa Neema LemaWakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Usiwe punguani kiasi hicho.huo ni unyumbu wa kiwango cha juu sana makonda jitihada za kupinga ushoga ndiyo ziliwafanya wamarekani wamzuie kwenda kwao kisa wao wanaunga mkono hayo mambo muuaji kamuua nani acheni upumbavu
Wewe ni kichaa punguani.Ya nani inasoma hivyo...
Kwenda kulamba wanaume matk ili wakulelee watoto na mke nayo ni heshima?
Ukiona watu JF unawaona kama mafala sio🤣,Usiwe punguani kiasi hicho.
Makonda alizuiwa kuingia Marekani kwa sababu ni muuaji, siyo kwa sababu ya masuala ya ushoga. Museveni hapo Uganda ameweka sheria kali dhidi ya mashoga, lakini hajawahi kuzuowa kuingia USA. Kule kule USA, kuna majimbo hayataki ushoga.
Hizi elimu zenu za kuungaunga zinawafanya kuonekana majuha mnapoleta tafsiri potofu na za uwongo wa wazi..
Nenda kaangalie kamusi ya Kiingereza uelewe maana ya denying someone right to life.
Angalia hii sentensi fupi kutoka tamko la Umoja wa Mataifa:
What is meant by the right to life?
This means that nobody, including the Government, can try to end your life.
USA walitamka wazi kuwa hawamruhusu Makonda kukanyaga ardhi ya USA kwa sababu mtu huyo, had been involved in denying people right to life. Maana yake amekuwa akikatisha uhai wa watu.
Huyu ni muuaji, Serikali haikupinga, wala yeye hakupinga, na ilikuwa inathibitisha tuhuma mbalimbali dhidi yake za kuhusika na mauaji.
He is a criminal. He is a muderer.
Wewe ni kichaa punguani.
Lema kwa sasa haishi kama mkimbizi. Ameajiriwa, na ni mwakilishi kwa kanda nzima ya Afrika, anaingiza mshahara mzuri kuliko wewe chawa punguani.
Halafu wale jamaa wakawa wajanja sana,huo ni unyumbu wa kiwango cha juu sana makonda jitihada za kupinga ushoga ndiyo ziliwafanya wamarekani wamzuie kwenda kwao kisa wao wanaunga mkono hayo mambo muuaji kamuua nani acheni upumbavu
Kweli, kiingereza chake mungu anajuaHahaha Alishachakaa kisiasa
Apumzike tu
Ndio anajipanga na majukumu mapya ya ukatibu mkuu wa chama chin ya mwenyekiti lissuWakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Utakuwa mmachame jirani na AikaelHahaha Alishachakaa kisiasa
Apumzike tu
Bangi zinawasumbuaUnajua hela ya asylum au unaropoka tu
Atakuwa Makonda huyoMakonda ni muuaji kila mtu anajua hilo
Wale askari na bunduki alioenda na clouds aliwapata wapi? Anaongoza kikosi gani? Kama alifanya jitihada za kupinga ushoga mbona serikali ilimkana? Alipinga kama nani na alikuwa na impact gani?huo ni unyumbu wa kiwango cha juu sana makonda jitihada za kupinga ushoga ndiyo ziliwafanya wamarekani wamzuie kwenda kwao kisa wao wanaunga mkono hayo mambo muuaji kamuua nani acheni upumbavu
Jifunze kuandika na kutumia vizuri nukta na capital leters mwanzo wa sentenso usionekana kilaza.lema keshalubuniwa na anajua arusha mjini mtanange utakua wa gambo na makonda. hanajipya huyu.