CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Masikini Thadei Ole Mushi R I P.Wewe nawewe upumzike kuua watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini Thadei Ole Mushi R I P.Wewe nawewe upumzike kuua watu
FAM outFAM apumzike
Wakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Wakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Kwa mtu yeyote mwenye akili hawezi kushiriki uchaguzi wa kimagumashi.Kama hamna tume huru ya uchaguzi kugombania nafasi yeyote ni kazi bure tu
Ugua pole mkuuPumba tupu toka kwa chawa jike
Lema kihistoria hana uadilifu, alikuwa mwizi wa magari; aliingia siasa kwa maslahi binafsi akakopa mamilioni benki ambayo sina hakika kama amelipa yote. Siasa imemuwezesha yeye, mkewe na watoto kupata maisha yenye posho nono huko Canada huku wanawe wakipata elimu nzuri; siasa kwake ni kazi sio matatizo kama anavyodanganya na ni mtu wa kupima upepo kipi kizuri zaidi kwa wakati husika na kukichangamkiaAnaridhika na hela ya Meals allowance to political asylum...
Mmachame mmoja old school sana
Old school Yes, lakini familia yake hawasomi shule haina matundu ya vyoo au kukaa kwenye matofali ya tope na magogo.Anaridhika na hela ya Meals allowance to political asylum...
Mmachame mmoja old school sana
Ya nani inasoma hivyo...Old school Yes, lakini familia yake hawasomi shule haina matundu ya vyoo au kukaa kwenye matofali ya tope na magogo.
Usijifanye jasiri kupigana na fimbo wakati mwenzio ana bomu. Atakusambaratisha utumbo. Kunguru muoga,.............lema keshalubuniwa na anajua arusha mjini mtanange utakua wa gambo na makonda. hanajipya huyu.
Sasa hivi huna umaarufu wa kugombea ArushaWakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Unataka picha za shule zisizo na vyoo na bila madawati ???? Pili. Bora uhai Canada ukimbizini kuliko vifo vya kutekana Tanzania na kesi zisizoisha.Ya nani inasoma hivyo...
Kwenda kulamba wanaume matk ili wakulelee watoto na mke nayo ni heshima?
Au sio...Unataka picha za shule zisizo na vyoo na bila madawati ???? Pili. Bora uhai Canada ukimbizini kuliko vifo vya kutekana Tanzania na kesi zisizoisha.
Maisha ni kuishi. Ina maana gani kujifanya jasiri, mzalendo huku unawindwa kama mhalifu.Au sio...
Utumwani patamu sana au sio Masta
CCM itasimamisha wagombea wawili wapambane?lema keshalubuniwa na anajua arusha mjini mtanange utakua wa gambo na makonda. hanajipya huyu.