Hata uchaguzi wa kanda aliukimbia kwa sababu hiyo… haya matapeli na mahuni ndo yaachowe chama??Anaridhika na hela ya Meals allowance to political asylum...
Mmachame mmoja old school sana
Arusha hakutakuwa na uchaguzi . Wauaji wamepewa ule mkoa kwa hio kama unataka kufa nenda.Wakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Unajua hela ya asylum au unaropoka tuAnaridhika na hela ya Meals allowance to political asylum...
Mmachame mmoja old school sana
huo ni unyumbu wa kiwango cha juu sana makonda jitihada za kupinga ushoga ndiyo ziliwafanya wamarekani wamzuie kwenda kwao kisa wao wanaunga mkono hayo mambo muuaji kamuua nani acheni upumbavuArusha hakutakuwa na uchaguzi . Wauaji wamepewa ule mkoa kwa hio kama unataka kufa nenda.
Wewe mpaka marekani akak wa dunia ame mredflag mtu kwamba ni muuaji halafu uende tu ukagombee hapo alipo
Wewe nawewe upumzike kuua watuHahaha Alishachakaa kisiasa
Apumzike tu
Makonda ni muuaji kila mtu anajua hilohuo ni unyumbu wa kiwango cha juu sana makonda jitihada za kupinga ushoga ndiyo ziliwafanya wamarekani wamzuie kwenda kwao kisa wao wanaunga mkono hayo mambo muuaji kamuua nani acheni upumbavu
Lema anatia huruma sana dah!🐒Wakuu,
Lema asema hatogombania ubunge wa Arusha Mjini 2025, lakini amesema ataendelea kushiriki kwenye harakati zote za chama katika kuleta mabadiliko.
Lema ameyasema hayo leo Januari 14, 2025 katika mkutano wake na waandishi wa habari, ambako pia ametangaza kumuunga mkono Tundu Lissu na kumwambia Mbowe japokuwa ni rafiki yake, wakati huu apumzike na kumuachia Lissu.
Pumba tupu toka kwa chawa jikeAnaridhika na hela ya Meals allowance to political asylum...
Mmachame mmoja old school sana