johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
sahihi sana na badoWafanyakazi hewa (wabungee) ni mzigo kwa walipa kodi....hawana faida yoyote!.
Duu!!!Kuna Member ka comment wamekufa wangapi tukafukie daaah
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
Maoni ya wachoma mabango na wavuta bangi wa CHADEMA!?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
Nchi imefika pabaya, na uchaguzi uliopita ,watekaji wamefanya hali kua mbaya zaidi, fikiri TRA inaanza fikiriwa ni watekaji , tumefikaje hapa what next ?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
UngejuaMaoni ya wachoma mabango na wavuta bangi wa CHADEMA!?
Kuhusu nini?Ungejua
🤣🤣🤣Kuna Member ka comment wamekufa wangapi tukafukie daaah
kwamba kila anae comment ni chadema? Basi social media zifungiwe maana waliojaa mule ni chadema na wavuta bangi tuMaoni ya wachoma mabango na wavuta bangi wa CHADEMA!?
Huwezi kuelewaMaoni ya wachoma mabango na wavuta bangi wa CHADEMA!?
Kwa nini zifungwe? Kwani hawana haki ya kucomment?kwamba kila anae comment ni chadema? Basi social media zifungiwe maana waliojaa mule ni chadema na wavuta bangi tu