Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Namuuliza huyo bwana aliesema watoa comment ni wavuta bangi na wana chademaKwa nini zifungwe? Kwani hawana haki ya kucomment?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuuliza huyo bwana aliesema watoa comment ni wavuta bangi na wana chademaKwa nini zifungwe? Kwani hawana haki ya kucomment?
Tuko pamoja sana, umemjibu vizuri. Unaweza kuta ni Mkuu wa Mkoa fulani hivi .Namuuliza huyo bwana aliesema watoa comment ni wavuta bangi na wana chadema
COVID-19 wote walikuwemoHao wabunge majina yao ni akina nani na nani?
Vipi Ackson alikuwemo?COVID-19 wote walikuwemo
Kwakweli naona kuna chuki kubwa sana kati ya watawala na wananchi, ukisoma comments ni balaa na wale jamaa wa tra kidogo wauliweMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
Mmmm!? Usiseme hawana faida yoyote. Faida waliyo nayo ni kule kupitisha (kuhalalisha) miswada na kuunga mkono hoja kwa kupiga meza.Wafanyakazi hewa (wabungee) ni mzigo kwa walipa kodi....hawana faida yoyote!.
Hivi wenye smart phone nchi hii wapo wangapi?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
Kama pesa unapata kwanini ujali?😀Hivi unapata raha gani kumwongoza mtu asiyekupenda na anakuombea kifo?
Wote 😄Hivi wenye smart phone nchi hii wapo wangapi?
Hatari sanaKuna Member ka comment wamekufa wangapi tukafukie daaah
Wabungee!! Who Cares ..Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
Kuna Member ka comment wamekufa wangapi tukafukie daaah
Na yeye anapendwa sana na jamiiMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626