Mpuuzi kweli huyu ,wanawatuma wajinga wa chadema kuwatukana wabunge wa ccmMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
Wenyewe wanajali basi? Famchezo na posho za uchawa!Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameandika Ukurasani X akiwasihi Wabunge walionusurika ajalini Wasome maoni ya Wananchi kwenye mitandao ya kijamii
Lema amesema Jamii inawachukia Wabunge Kuliko hata inavyomchukia shetani
Soma Pia: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge kadhaa
Baadae Mlale unono 😀
View attachment 3170626
Sa binadamu timamu utamombeaje kifo mwenzio kifo, kama co bangi na Akiri za kuchoma mabango ya raisi ni nini?kwamba kila anae comment ni chadema? Basi social media zifungiwe maana waliojaa mule ni chadema na wavuta bangi tu
Vipi pale binadamu anateka,anauwa anaibia,anaonea,anafunga mwenzieachilia mbali kuombea kifo.Sa binadamu timamu utamombeaje kifo mwenzio kifo, kama co bangi na Akiri za kuchoma mabango ya raisi ni nini?
Lile furushi ndio empty set.. chakushangaza ndie anaongoza wizara yenye vichwa kama kina janabiMm nampenda Sana jenzter mwagama
Ndo hivyo😀😃 maokoto sio! 🤣🤣
🤝🤝
Janabi kichwa maji tuLile furushi ndio empty set.. chakushangaza ndie anaongoza wizara yenye vichwa kama kina janabi
Wao wajue jamii yote,chawa na wasio chawa wanawapenda mnoo,hata Lucas Mwashambwa,Comte,Chiembe na jamii yao inawazimia kweli kweli.Ndo hivyo😀
Uthibitisho unao?Janabi kichwa maji tu
Na wewe ni mgonjwa wa zikalema ni kama anausonji
😀😀Ndo hivyo😀
Bro kuna kila sababu ya kushanglia pale anguko la shetani linapo tokea.Hivi unapata raha gani kumwongoza mtu asiyekupenda na anakuombea kifo?