Lema: Wabunge sasa mjue Jamii inawachukia kuliko hata inavyomchukia Shetani

Mpuuzi kweli huyu ,wanawatuma wajinga wa chadema kuwatukana wabunge wa ccm
 
Wabinafsi wanajali matumbo yao tu

Ova
 
kwamba kila anae comment ni chadema? Basi social media zifungiwe maana waliojaa mule ni chadema na wavuta bangi tu
Sa binadamu timamu utamombeaje kifo mwenzio kifo, kama co bangi na Akiri za kuchoma mabango ya raisi ni nini?
 
Sa binadamu timamu utamombeaje kifo mwenzio kifo, kama co bangi na Akiri za kuchoma mabango ya raisi ni nini?
Vipi pale binadamu anateka,anauwa anaibia,anaonea,anafunga mwenzieachilia mbali kuombea kifo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…