Pre GE2025 Lema: Wajumbe wengi hawajapata vitambulisho

Pre GE2025 Lema: Wajumbe wengi hawajapata vitambulisho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Toa vitambulisho kwa Wajumbe , Wajumbe wengi mpaka sasa hawajapata vitambulisho. Hii haikubaliki. - Godblless Lema
Screenshot 2025-01-20 194100.png

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Hivi kuliiuwa ma ulazima gani kutajana tajana kwamba Munamuunga Lissu Mkono(Haswa kwa Wajjmbe).Yaaani ilitakiwa ipigwe kimnya kimnya Mbowe anakuja shangaa anakura 80 kati ya 1200
 
Toa vitambulisho kwa Wajumbe , Wajumbe wengi mpaka sasa hawajapata vitambulisho. Hii haikubaliki. - Godblless Lema
View attachment 3207715
Marehemu Mtikila aliwahi kusema kuwa waafrika tunasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kama apedomia (unyani). Ninapotazama yanayojiri hapa nchini na kwingineko Africa ya watu weusi, nashawishika kukubaliana nae. RIP Rev. Mtikila
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom