the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
vibweka vya kutosha mkuuHamna kipindi nachofurahi kama wakati wa uchaguzi maana vituko ni vingi sana.
Goli la mkonoToa vitambulisho kwa Wajumbe , Wajumbe wengi mpaka sasa hawajapata vitambulisho. Hii haikubaliki. - Godblless Lema
View attachment 3207715
Mlisema mtaenda mlimani city watu wa mikoa yote, hamjafika.Mbinu ya ushindi Kwa Mbowe!
Wajumbe waaminifu kwa mbowe ndio wanavitambulisho vya kupigia kura!
Hizo ni figisu mkuu mbowe hicho anachokifanya hakitomuacha salama hata kama analindwa na dolaHivi kuliiuwa ma ulazima gani kutajana tajana kwamba Munamuunga Lissu Mkono(Haswa kwa Wajjmbe).Yaaani ilitakiwa ipigwe kimnya kimnya Mbowe anakuja shangaa anakura 80 kati ya 1200
Lema umewafungia wajumbe gest house maeneo mbalimbali hutaki wazurure mjini ujihofia kurubuniwa na bado unalalamika hawana vitambulisho?Toa vitambulisho kwa Wajumbe , Wajumbe wengi mpaka sasa hawajapata vitambulisho. Hii haikubaliki. - Godblless Lema
View attachment 3207715
Marehemu Mtikila aliwahi kusema kuwa waafrika tunasumbuliwa na ugonjwa unaojulikana kama apedomia (unyani). Ninapotazama yanayojiri hapa nchini na kwingineko Africa ya watu weusi, nashawishika kukubaliana nae. RIP Rev. MtikilaToa vitambulisho kwa Wajumbe , Wajumbe wengi mpaka sasa hawajapata vitambulisho. Hii haikubaliki. - Godblless Lema
View attachment 3207715
Na huo anaita ujuzi wa siasa. Ngoja CCM waendelee kuwatenda. Wanawapa uhalali wao wenyewe.Ndiomaana Yericko Nyerere anakibr wanajua target yao ni kuwanyima haki ya kupiga kura wajumbe wasiowatiifu kwa mbowe