Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro umeshikwa na nini?Kuweni na huruma na Watanzania.
Viinua mgongo ni ni namba tu, huwa wanakatwa mikopo ya gari..200ml za migari yao sio ndogo.Natambua hilo mkuu lakini mbunge ambaye amekuwa mbunge wa awamu mbili mfululizo hiyo ni aibu.
Kumbuka sababu kubwa ya wabunge kulipwa mishahara na vinuua mgongo vikubwa ni sehemu ya maandalizi ya awamu inayofuata.
Huu ni ubinafsi mkubwa Sana wa viongozi wetu hakuna tofauti na ufisadi.
Nileteeni gwajimaaa aendeleza kurekodi movie yakeHii sio sawa.
Yaani starehe zao wengine ndio waingie gharama??
Huyo mchagga. Hawa watu wanaijua pesa balaaaLema umekuwa Mbunge wa Arusha mjini kwa vipindi viwili mfululizo, tena ukilipwa mamilioni ya shilingi kwa mwezi.
Kama hiyo haitoshi umelipwa viinua mgongo viwili kingine bado hakijapoa kabisa zaidi ya milioni 200...
View attachment 1601411
Hivi huy Lema kawahi kuchangia nini pale jimboni Arusha?hiyo hela si afadhali mungechanguia shule kuliko kumchangia mtu binafsi ambaye ananufaika yeye binafsi na familia yake, Lema ni tajiri , kuomba kuchangiwa ni kuwaibia masikini mchana kweupe, huko bungeni hawakai ,kila siku wanagoma,amuombe Mbowe amchangie, hakuna aliyemtuma kugombea ubunge. halafu hawa si ndio walisema tususie Vodacom kumbe yeye bado anatumia Vodacom.Lema umekuwa Mbunge wa Arusha mjini kwa vipindi viwili mfululizo, tena ukilipwa mamilioni ya shilingi kwa mwezi.
Kama hiyo haitoshi umelipwa viinua mgongo viwili kingine bado hakijapoa kabisa zaidi ya milioni 200...
Wajinga ndio mliwaoSisi tunachanga
Kama Lisu alivyo muongo. Eti uwanja wa ndege wa Sumbawanga umebaki kuwa uwanja wa kufugia mbuzi. Mwalimu aliona mbali kwa hakika.Nileteeni gwajimaaa aendeleza kurekodi movie yakeView attachment 1601589
23 Jun 2020Ni jambo la kawaida sana, Marekani wagombea wanachangiwa, mwenye dollar moja haya, mwenye dilkar tano hayaa
Kwahiyo sioni tatizo kwa wanaompenda Lema wakimchangia, ingawa mimi binafsi siwezi kumchangia mbunge, labda Lisu naweza kumchangia najuwa amedhurumiwa na mashetani kina Ndugai.
Kampeni ni za chama sio za mtu binafsi. Ndio maana mgombea anapeperusha bendera ya chama.Alafu kama anaona gharama kubwa basi asigombee.
Hii nchi kuna wajinga wengi, huwezi amini kuna watu watachanga
"Kukodi magari, kumobilize watu, kuhost mikutano, kuzunguka mtaa kwa mtaa lazma utoe motisha kwa wapambe, bado media campaign, kuna mabango n.k"Kampeni ni gharama mkuu, ukisema uwekeze pesa binafsi kwenye kampeni unaweza komba akaunti zote alafu ukianguka ndio unarudi chini kabisa.
Kukodi magari, kumobilize watu, kuhost mikutano, kuzunguka mtaa kwa mtaa lazma utoe motisha kwa wapambe, bado media campaign, kuna mabango n.k
So kuepuka risk ni bora uchangishe ili uweze kucover gharama za uchaguzi bila kuziweka rehani mali binafsi