Lemutuz aombwa kuwa makini na Hamisa Mobetto.

Status
Not open for further replies.
- Sawa ila ninasema cha msingi ni kulekezea hayo matusi kwa muhusika yaani Mange ambaye baba yake marehemu ndiye aliyefanyiwa na mashahidi wapo, au nakosea?

le Mutuz
Marehemu hasemwi vibaya mkuu, hivi ikitokea chance Mange anataka kupatanishwa na wewe utakubali?
 
- next time sema umri wako kwanza na unayoyafanya then ulizia ya wengine hahahahahha

le Mutuz


Wewe umewahi kufanya nini zaidi sana hapa? kweli wewe ni shida ata Nasra baby................ huyo si ni mjukuu? na nasikia hadhubutu kwenda na wewe popote kukiwa na mwanga wa Mungu ha ha ha ha ha
 

- good eti umeshawahi kunilipia maisha hata siku moja?

le Mutuz
 
- Sawa ila ninasema cha msingi ni kulekezea hayo matusi kwa muhusika yaani Mange ambaye baba yake marehemu ndiye aliyefanyiwa na mashahidi wapo, au nakosea?

le Mutuz
Inaelekea unamuwaza sana mange , sasa hapa ameingia vipi , pambana na hali yako
 
- yaani kama walivyoyashika wanaume 10 waliombaka marehemu baba yake, i can understand that anakumbuka mpaka leo alichokiona kwenye video hahahahahaha

le Mutuz
yule binti yako anakuja lini bongo? halafu namjua jamaa anaetembea na mkeo .yule mkurya handsome kweli lazima upigwe chini ndugu yangu
 
Wewe umewahi kufanya nini zaidi sana hapa? kweli wewe ni shida ata Nasra baby................ huyo si ni mjukuu? na nasikia hadhubutu kwenda na wewe popote kukiwa na mwanga wa Mungu ha ha ha ha ha

- hahahahahaha so picha zote huwa tunapiga usiku tu hahahahahaha sema unamuonea wivu ungependa nikuoe wewe hahahahaha

le Mutuz
 
🙂

le Mutuz[/QUOTE]
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
- ni kweli it is about a choice kununua magari au kujenga studio ya Online TV na kutoa ajira kwa vijana 8 tayari, nikachangua kujenga studio hahahahahahaa and I am proud of it

le Mutuz
Wabongo Bwana sijui mpoje.Angekuwa anaendesha HAMMER mngesema aliiba hela za watanzania kupitia cheo cha Baba yake.AMEKUWA MZALENDO KWA KUJITAFUTIA KIDOGO KWA NGUVU ZAKE MWENYEWE MNAMTUKANA.RZ1 MMEMPIGIA KELELE SANA MKASEMA HELA KATOA WAPI.KIJANA WA LOWASA ANAFANYA BIASHARA, MAKAMBA WAZIRI, WA MWINYI WAZIRI,HUYU WA MALECELA AMECHAGUA Online TV na usafiri wake ni NOAH.sasa shida ipo wapi?
 
- Sawa ila ninasema cha msingi ni kulekezea hayo matusi kwa muhusika yaani Mange ambaye baba yake marehemu ndiye aliyefanyiwa na mashahidi wapo, au nakosea?

le Mutuz


Uncle naona kama haupo fair vile why watu wakikutukana we unang'ang'ana na baba ake Mange tu? Kwamba tuseme umeshindwa matusi ya kumtukana Mange mwenyewe ? Mbona hakutukanii baba ako au mama ? Sina undugu nae ila huwa najisikia vibaya tu marehemu kutukanwa .

Am sorry kama nimekuuzi
 
Mkuu, unatembelea Noah nini? Kulikoni, mbona umeng'aka kiasi hiki?
 
- hahahahahaha so picha zote huwa tunapiga usiku tu hahahahahaha sema unamuonea wivu ungependa nikuoe wewe hahahahaha

le Mutuz


Wewe pambana tu na hali yako tu hamna namna............... hivi nasikia alikuwa housegirl wa Bashite ndio basi tena
 
- sina mke nili divorce ninaye mchumba wangu, nilisha move on maisha ya my ex hayanihusu hahahahaha

le Mutuz
najua ulipewa talaka .mkeo alichukuliwa na kitu kizuuri cha ukweli.chezea mkurya wewe. nasikia ulikimbia child support marekani
 
Mimi mwenyewe nimeshangaa Mange anaingia je hapo? anajibu ndio anayetoa matusi............ lemutz kila mtu anakujua wewe mwili mkubwa akili nukta

- hahahha ndiye matusi yanamuhusu hahahahahha imekuuma i can tell

le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…