Imebidi nimwonee huruma sana huyo le big body and brain less kwa kweli ............... Hapa ulitakakiwa uwe unazungumzia watoto kuwepo shule na kusubiria wajukuu................. sasa kweli umri huo 50++ + unadhubutu kuzungumzia le baby? kweli kua uyaone....... Kweli wewe na 50+++ yako unasema eti umeajiri vijana 8? Sasa si bora yule mwenye shamba lake la heka 200 na zaidi aliyeajiri vijana zaidi ya 30 na bado hawezi kuja kutamba kwenye mitandao? umri wako na unachokifanya kwa kweli sio kabisa ati studio ya ONTV na ajira ya watu8 shame on you Big body........................... Bora hata Mange mara mia kuliko wewe.............. vipi njoo kwa garage yangu uone nina vijana wangapi wanaojifunza tuu na wangapi wanafanya kazi na bado nitakunyooshe agari yako bure.............