Lemutuz aombwa kuwa makini na Hamisa Mobetto.

Status
Not open for further replies.

- sasa mbona unajua sana details kama hujafanyiwa? hahahahahahha

le Mutuz
 

- ndio kwanza tumeanza hatuna haraka maana hawaji mbio mbio kazi kwanza, tayari tuna sponsors so hatuna haraka

le Mutuz
 
ndio ofisi yake yakwanza kashtukia uzeeni
 


TANGU LINI MAHAWARA WAKAACHANA AU WAKAPEANA TALAKA...MZEE UNAKAMATIA KISELA WEWE...!😀😀😀😀
 
- Uongo ukiandikwa sana unageuka kuwa ukweli, so unakubali kwamba unashangilia uongo unaoujua kuwa ni uongo na wewe great thinker? Kuhusu Nasra ungetulia tu hujui anything ungejali maisha yako au unataka nikuoe wewe?

le Mutuz
Kaka usishangae hili ni jukwaa la celebrities udaku kawaida
 
Kwa nini watu hawapatani na Le mutuz?
Akionekana anapigwa maneno hatar tuambiane alichofanya
 
- Kwenye haya matusi unakosea sana maana sasa unamkumbusha Mange aliyofanyiwa marehemu Baba yake, imagine wewe mtu akukumbushe mabaya aliyofanyiwa baba yako ambaye ni marehemu?

le Mutuz
Mange anahusikaje na mada hii mkuu?
 
Yaani hapa lemutuz anatamani ingekuwa Instagram angewablock wote.

Hivi lemutuzi kwanini wewe na dada yako mange hamuishi kuwablock watu wanaotofautiana na nyie kimtazamo? Nia yenu ni kufuga nyumbu wasiowapinga?
 
- yaani kama walivyoyashika wanaume 10 waliombaka marehemu baba yake, i can understand that anakumbuka mpaka leo alichokiona kwenye video hahahahahaha

le Mutuz
Huuu ujumbe nampelekea Mange sawa Le Mpumbuz, leo usiku angalia account yake ya instagram
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…