Lemutuz ashauriwe kuachana na Mitandao

Teh teh huyo tofauti sana na wakina mwele na ipi(rip)
Ngoja tuishie hapa

Ova
 
Design ile ya watu ndo wanadhihirisha lile neno la , “ mjinga nae huzeeka”

Hivi anajionaga nani. Naonaga aibu kwa niaba ya watoto wake na aliewahi kuwa mke wake au mchumba wake.
 
Marehemu le mutuz aliniacha hoi. Ali ni unfollow Instagram kwa kumponda kwenye comment. Imagine na iyo comment ilikuwa ya mia nne huko. Nikajiuliza jamaa yani anasomaga comments zote?

Six decades wasted on earth.

R I P lem bebez

 
Ulimtambiria jaman,lemubebez ntammis daima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…