Lemutuz ashauriwe kuachana na Mitandao

Lemutuz ashauriwe kuachana na Mitandao

Huyu mzee wetu kiukweli ana tatizo kubwa. Ubaya ni kwamba hakubali kwamba ana tatizo na ubaya zaidi kujiona ana akili kuliko watu wote. Stress aliyo nayo ni ya dunia nzima. Haiingii akilini kabisa kupost kila siku umelala na mwanamke fulani. Pia ni mwongo hakuna mfano... aliandaa semina mwaka huu 2014 iliyokuwa sponsored na azam na makampuni mengine ila vijana tulipiga miayo kuanzia asbh hadi jioni bilabila. Lemutuz anatuambia tusubiri watu wa catering wanaleta misosi. Muda wa kutoka Davis Mosha akatoa 5000 kwa kila kijana. Na kwa age yake imeshakuwa too late kumrekebisha. Aachwe tu aishi anavyoona ili mradi hakuna sheria ya nchi anayovunja.
Teh teh huyo tofauti sana na wakina mwele na ipi(rip)
Ngoja tuishie hapa

Ova
 
Design ile ya watu ndo wanadhihirisha lile neno la , “ mjinga nae huzeeka”

Hivi anajionaga nani. Naonaga aibu kwa niaba ya watoto wake na aliewahi kuwa mke wake au mchumba wake.
 
Marehemu le mutuz aliniacha hoi. Ali ni unfollow Instagram kwa kumponda kwenye comment. Imagine na iyo comment ilikuwa ya mia nne huko. Nikajiuliza jamaa yani anasomaga comments zote?

Six decades wasted on earth.

R I P lem bebez

ImageUploadedByJamiiForums1420173642.401923.jpg
 
Nimemfuatilia hivi karibuni baada ya kutoka India kwenye Operesheni ya Moyo naona anatukanatukana watu tu hovyo wanaochangia Post zake.

Nadhani kuna shida mahali,nasikia aliwekewa mashine kwenye Moyo wake na kuna mtu aliniambia ukiwekewa mashine kwenye Moyo unakuwa na hasira zisizoeleweka, sijui ndicho kinachomkabili au amepata shida kidogo.

Ila kutokana na yeye kuwa na Ugonjwa ambao hautaki mbambamba bali utulivu ni vyema akashauriwa atoke huko Mitandaoni coz hao anaowatukanatukana bila utaratibu siku wakianza kujibizana asije akashindwa kuamka.

Ni kwa nia njema tu coz tunampenda Mzee wa Wabebez wa rangi za mitume, na tunataka aendelee kura Maisha Bandikabandua na kuhang out na visu juu ya Gadem Visu you know!

Azidi kutupa Straight talks na free Education you know, watu tupige kazi tutafute hela Bongo ni tambarare ni kama Mbelezz you know!

Atuambukize American spirit tuargue kwa Facts.

Ni hayo tu narudi zangu Sweken Downtown sipawezi you know,mambo ya Fivestar na Battan Wavuvi Camp ni Gharama sana you know!,tumshauri King of all social media asijiue bila kujua you know!Boma Yee!Yee!Boma Liwanza!Liwanza!

Iam just saying nothing personal you know!It is so simple na sasa hii ni CASE CLOSED you know!NAFWAZ.
Ulimtambiria jaman,lemubebez ntammis daima
 
Back
Top Bottom