Lemutuz kavuta jiko, mtoto mkali yaani Kim Kardashian huyu hapa kabisa

''KUNA HAJA YA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI"
Nimekuelewa.
 
Huyo binti si sawa na wanawe aliomsusia mkewe Marekani
 
Hongera sana diaspora Lemutuz
 
Huyo binti si sawa na wanawe aliomsusia mkewe Marekani
Sikubaliani na motto yako kuwa mapenzi ulaya Afrika biashara. Nadhani hujawahi kuishi huko ukaona Afrika tulivyo na mapenzi ya kweli kuliko hao wanafiki weupe wanaoitana honey asubuhi na usiku wakachinjana. Wachunguze au uliza waliowahi kuishi kule watakueleza Mwanangu.
 
Aliyekuwa mke wake sio wa mbele ni mnyakyusa, walipoachana yy kabaki huko
 
Mkuu sijaishi wapi Marekani na Ulaya kwangu ni kama Kibaha au Bagamoyo, hakuna mtu wa kunieleza sababu nimeishi huko miaka dahali na hata kesho nikitaka kwenda naenda, kuuana sio ishu kule hakuna kudanganyana ,kama mtu anakupenda au kakuchoka anakuambia tu sio huku akina naomba hela ya vocha wanakudanganya kwa kukita baby eti ndio mapenzi. Narudia tena mapnzi mamtoni huku biashara au njaa kali tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…