Lemutuz kavuta jiko, mtoto mkali yaani Kim Kardashian huyu hapa kabisa

Huyu jamaa mshamba kinoma hapendi kuuambiwa ukweli,ukimwambia ukweli ana kublock anajiona mungu mtu mwili mkubwa akili kisoda
Sa hivii kaacha kumpamba field marshal wake makonda hana tofauti na chawa wengine mda si mrefu ataanza kumsifia vunjabei kama wakina aristote ili aishii
 
Story za huyu jamaa zinanifurahisha kinoma baada ya kufunga ndoa akaenda direct kulala asije akakutana na the mburulas
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia haiishiwi vituko wallah
 
We jamaa unasifia hadi sio Powa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tangu augue kaisha sana sijui nini kinamsumbua walah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio....lakini ingetegemewa utani kama huo utoke kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume....na sio kinyume chake......ikiwa kinyume chake inazua maswali mengi....
Vyovyote vile, dhana ya binadam ni kukufanya ukasirike, akiona akikukasrishi anaachana nayo
 
Ukipenda chongo huona kengeza... Harmo aluchora mpaka tatoo ya K.. Alipopigwa chini akaichakachua na kuongeza onde
 
Baba yake alikuwa waziri sasa sijui mshikaji alikosea wapi anahangaika uzeeni? sialikuwa india juzi huyu hayo maupasuaji tayari yamepona kwa ajili ya kukata kiuno/kudemka? Muda umeshampita bila yeye kujitambua anafikiri bado baba waziri kachezea maisha hana family bora yeye bora maisha na mitandao tu huyu hafai hata kuwa mshenga aibu kwake na demu wake chai jaba.
 
Mzee umesahau stori yake ya kutoroka ughaibuni na kibukta huku chini kapiga ndala???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…