Le Mubebe lakini si tulikubaliana huu mwezi uwe wa mwisho kutumia lile Jani? Ina maana siku zote uko mitandaoni hukuwahi kumuona Le Mutuz
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Mwanaume anaoa hata na miaka 90 mradi aweze kuchezesha kiuno.Hongera kwake
Mola amjaalie Aache utoto sasa.... Maana kuwa na miaka 64 na kufanikiwa kuoa tena sio mchezo
Which is good na nimempongezatMwanaume anaoa hata na miaka 90 mradi aweze kuchezesha kiuno.
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
AS SOON AS POSSIBLE LE MUBEBELile jani naacha mwakani Le Mubebe,kwani ulikuwa unashauri niache leo?
Kila La Heri
Story za huyu jamaa zinanifurahisha kinoma baada ya kufunga ndoa akaenda direct kulala asije akakutana na the mburulasKuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Tangu augue kaisha sana sijui nini kinamsumbua walahKuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Vyovyote vile, dhana ya binadam ni kukufanya ukasirike, akiona akikukasrishi anaachana nayoNdio....lakini ingetegemewa utani kama huo utoke kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume....na sio kinyume chake......ikiwa kinyume chake inazua maswali mengi....
Yule mange kimambi ndie alisema kibamia inasemekana amekeketwa yule ana bonge la nyuchi ndio maana wazungu wakimla wanakula konaSasa lemutuz uzee +kiba100 itakuwaje
Zamani jamiiforums ilikuwa haipo πZamani nilikuwa najua jamiiforum ni yake
Ukipenda chongo huona kengeza... Harmo aluchora mpaka tatoo ya K.. Alipopigwa chini akaichakachua na kuongeza ondeKuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Mzee umesahau stori yake ya kutoroka ughaibuni na kibukta huku chini kapiga ndala???Lemutuz pamoja na kuwa na baba mwenye uwezo alipoteza muda wake ughaibuni na kurejea akiwa hana lolote wala lolote. Ama kweli kuna kipindi simba anaweza kuzaa mbwa! Kwa umri huu na mtoto mdogo ambaye ni umri wa binti yake atapata nini zaidi ya presha? Somo ni kwamba kuna haja ya kusoma alama za nyakati.