Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Status
Not open for further replies.
Jamaa ana Mapagale yake mawili ya kawaida kutwa kujiita baba mwenye nyumba,hivi angekuwa na jumba kama la Lugumi moja si Dunia nzimba ingejua kwa mapromo? Nyumba zenyewe hata finishing hajafanya!!
Na atakufa hajaishi kwenye hayo mapagale yake yani pale kachimbia hela chini tu
 
Hili jamaa ni boya kabisa. Linabebwa na sir name yake tu. Bure kabisa
 
Hongera mkuu...sisi wakulima sijui lini tutapata ofisi zenye eya kondisheni

Ahsante...

Ila siyo big deal AC siku hizi, hata wewe unaweza weka kwako, kuna zile ndogo za kusimama.. kuna hizi split unit za ukutani...


Cc: mahondaw
 
Sasa baba ake anashuhudia huu upuuzi wa mwanae. Au anavumilia coz alimzaa kwa bek 3 wake
yah bado yupo alikuwa waziri mkuu wakati wa nyerere,baba yake alitembea na mfanyakazi wa ndani ndo akazaliwa yeye kwa kifupi yeye ni mtoto wa nje ya ndoa,mama yake alikuwa beki tatu wa waziri mkuu alikuwa na msabwanda wa kufa mtu kafariki now
 
Ahsante...

Ila siyo big deal AC siku hizi, hata wewe unaweza weka kwako, kuna zile ndogo za kusimama.. kuna hizi split unit za ukutani...


Cc: mahondaw
AC hadi laki sita mkuu brand new zamani ndio ilikua anasa saizi kila mtu anaweka
 
Lemutuz ana PHD ya kukaa majuu a.k.a mamtoni a.k.a Amerika miaka 30, akarudi na Laptop na nguo alizovaa tu.
 
Sasa baba ake anashuhudia huu upuuzi wa mwanae. Au anavumilia coz alimzaa kwa bek 3 wake
baba yake umri ushaenda saa hzi nahisi takuwa na miaka 90 kitu kama sikosei au 80 na kitu,hata haya mambo ya social network hayajui kama mwanae anatuma ujinga huu,kipindi cha JK alitaka kumpa wilaya ya Kinondoni ili amwenzi mzee wake watu wakamshauri akampa Mkonda
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa ni mshamba
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…