Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Status
Not open for further replies.
Jamaa ana Mapagale yake mawili ya kawaida kutwa kujiita baba mwenye nyumba,hivi angekuwa na jumba kama la Lugumi moja si Dunia nzimba ingejua kwa mapromo? Nyumba zenyewe hata finishing hajafanya!!
Na atakufa hajaishi kwenye hayo mapagale yake yani pale kachimbia hela chini tu
 
Hongera mkuu...sisi wakulima sijui lini tutapata ofisi zenye eya kondisheni

Ahsante...

Ila siyo big deal AC siku hizi, hata wewe unaweza weka kwako, kuna zile ndogo za kusimama.. kuna hizi split unit za ukutani...


Cc: mahondaw
 
Sasa baba ake anashuhudia huu upuuzi wa mwanae. Au anavumilia coz alimzaa kwa bek 3 wake
yah bado yupo alikuwa waziri mkuu wakati wa nyerere,baba yake alitembea na mfanyakazi wa ndani ndo akazaliwa yeye kwa kifupi yeye ni mtoto wa nje ya ndoa,mama yake alikuwa beki tatu wa waziri mkuu alikuwa na msabwanda wa kufa mtu kafariki now
 
Hata huyu le mutuz dada zake wamefanikiwa kweli kuna mmoja ana PHD mwingine Jaji nazani huyu tu ndio mzee alipata hasara alikataa shule akawa anajifanya ni mission town mpaka leo hajatoboa na miaka yake 65 jamaa ana mvi kama lowasa ndio mana ananyoa nywele aonekane kijana
Lemutuz ana PHD ya kukaa majuu a.k.a mamtoni a.k.a Amerika miaka 30, akarudi na Laptop na nguo alizovaa tu.
 
Sasa baba ake anashuhudia huu upuuzi wa mwanae. Au anavumilia coz alimzaa kwa bek 3 wake
baba yake umri ushaenda saa hzi nahisi takuwa na miaka 90 kitu kama sikosei au 80 na kitu,hata haya mambo ya social network hayajui kama mwanae anatuma ujinga huu,kipindi cha JK alitaka kumpa wilaya ya Kinondoni ili amwenzi mzee wake watu wakamshauri akampa Mkonda
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa ni mshamba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom