Shida ame waste the valuable time ya maisha yake ulaya alitarajia makubwa sana alivyoenda ulaya bahati mbaya alienda akiwa hana elimu akaishia kuishi homeless mtaani huku anaendesha gari la takataka kwa muda wa miaka 30 hakuwai ku enjoy maisha sasa kaja kukumbuka shuka kumekucha alafu analudi nchini anakuta age mate wake wametoboa ile mbaya. Sasa saizi anajitahidi kulipiza maisha aliyoyakosa bad enough aliludi na dola 500 kama milioni hivi na kibegi chake akafikia home kwao imagine mtu ana miaka 60 bado anakaa nyumbani ha ha ha ha ha ha asubui mzee malechela anamtuma vocha na mkate kwa mangi