Lemutuz on Clouds Tv

no, they are my children
 
Ila habari kama hizo ndio zinapendwa na hivi vyombo vyetu vya habari na hadhira pia
Angalia vipindi vya intellectuals uone kama ni maarufu kama hivi na hata hao waandaaji hawana uthubutu wa kualika wasomi.! Watawahoji nini?
Yani huwa natamani kukutana nawewe uso kwa macho, maana you always talk senses bro!
 
hivi huyo wanayemuita mbulula na wanaopoteza muda na MB kumjadili nani mbulula zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…