no, they are my childrennaangalia mahojiano ya zamaradi na le mutuz clouds tv now.. le mutuz kaulizwa swali kuhusu watotot wake ambao wako kwa ex wife wake.. nanukuu
zamaradi: so unajihisi kama huna watoto au?
mutuz: no, they are my child..
duuh kwel kingereza hakiangalii mwili mkubwa,we mtu bonge la mtu kama le mutuza lakini ngeli inampiga chenga hahahahaha nipeni namba za ras simba
Yani huwa natamani kukutana nawewe uso kwa macho, maana you always talk senses bro!Ila habari kama hizo ndio zinapendwa na hivi vyombo vyetu vya habari na hadhira pia
Angalia vipindi vya intellectuals uone kama ni maarufu kama hivi na hata hao waandaaji hawana uthubutu wa kualika wasomi.! Watawahoji nini?