Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
TANMO nimepitia huu Uzi kwasabb tu ya kitu nilichokumbuka. Leo lLe Mutuz aje akane maneno haya ya NEema alimwita kuwa in maiti inayotembea. Jaman imerushwa pixha ya msiba was mama take Le Mutuz ni aibu. Banda aloingizwa Hugo mama MTU unajiuliza ivi ni kwa tambo zile alizokuwa nazobhuyu baba mwanaisha?:ni aibu jaman ajifunzeHuyu Mzee ana mambo kweli.
jaman we tembelea insta ukajionee ya huko nyumban kwa huyu me mutuz. Mama take ametolewa kwenye banda LA ajabu. Jaman tujifunzeTeh Teh
Uknw lebosiz utafungwa ..
Msg yako imeniumiza sana,kweli huu uzi wautoe,kwa mtu mwenye akili hapa utagundua huyu mwanamke ndo alikua lekubwa jingazi, huwez kuzarau mzazi wa mzazi mwenzi kiasi hiki.pole jombaaJamani hata kama kunatokea kugombana huwezi kumwita mama wa mwenzako"kichaa"!!!ugomvi ni kati ya nyie wawili hamuwezi ingiza innocent people.nadhani hata wewe unamama pia na unajua hakuna kitu kibaya kama kudharau au kuwatukana wazazi wetu au wa wenzetu.unaoneka uko hasira na le mutuz sana na haisaidiii kumtukana mama yake.unaongea kama umejizaa mwenyewe.au wewe mwenzetu humthamini mama yako?maanake ungekua unamthamini usingeharisha kiasi hicho.Mwacheni mama wa watu alale mahali pema.kama kugombana msimuhusishe yeye.imeniuma kama ni mama angu vile.Kwanza mtu yeyote mwenye akili hawezi weka ugomvi wa familia kwenye social network.ADMIN....ONDOENI HUU UZI HUU SIO USTAARABU.WANGEKUA MAMA ZENU AU NDUGU ZENU MNGEUACHA???
POLE LE MUTUZ KWA KUFIWA NA MAMA YAKO.
Jamani [emoji24]Naona LEMUTUZ ...kawapa haters cha kuongea.......yaani na ufahari wake wote hapa mjini ...kweli Mama yake kumbe walk hakuwa na nyumba ya kuishi......kweli Mama !!!!
MASIKINI tazama chumba anachoingizwa mara ya mwisho.....loo this is not fair Kabisa ....
Huko Instagram hakufai..
kw hili hata waziri mkuu mstaafu hakufanya fair sio kosa la le mutuz tu.. so pitfall
- Maisha ya Majuu yalinifundisha kukaa kwenye apartment, ningetaka kwa hela zote nilizotumia kukarabati Apartment ninayoishi sasa hivi ningezitumia kumalizia nyumba yangu Kinyerezi nikaishi kule na hata kama ningekuwa na shida ya kuishi kwenye nyumba ningehamia kule au ningeenedelea kushi nyumba ya baba yangu, hapa mjini ninapoishi ninaishi karibu na watu wengi wenye pesa kubwa hapa mjini wasiopenda kuishi nje ya mji,
- Eti ninakaa kwenye kiota? are serious au unatania 3 bedroom apartment inayouzwa Dola za Marekani Laki tatu unasema ni kiota na kwenye jengo jipya kama ninaloishi hapa town, please hahahahahahah
Le Mutuz
Kwa page ya nani huko insta?Jaman we te
jaman we tembelea insta ukajionee ya huko nyumban kwa huyu me mutuz. Mama take ametolewa kwenye banda LA ajabu. Jaman tujifunze
daah kweli braza, watu wanatafuta kiki kupitia kwa le mutuzKama binadamu Le mutuz anaweza kuwa na makosa yake kwenye maisha yake.Sijui nani hapa hajawahi kufanya kosa lolote kwenye maisha yake.Tusitumie hizi identities zisizojulikana kujifanya sisi ni watakatifu sana.Pengine wengi wa wanaomsema baba Agape hapa hawafanyi chochote kurekrbisha hali za majumbani kwao na wapo hapa wanamshupalia Willy kwakuwa tu yeye anajulikana.
Na hapa huu ni msiba.Mwenzetu amempoteza mama yake mzazi.Lakini angle waliyoichagua watu kuijadili ni moja tu.Mtu ambaye hana taarifa kamili na akaja hapa kusoma comments anaweza kufikiria kuwa huyu Willy amemnyonga mama yake mzazi.Ndiyo maana hata hapewi pole watu wanamlaani tu.Binafsi nimetofautiana na Le mutuz kwenye masuala mengi mbalimbali lakini sioni kama ni haki kuutumia msiba wa mama yake kujithibitishia ubingwa dhidi yake kuwe yeye ni hafai kabisa.
Jiweke kwenye viatu vyake kisha pima maumivu anayoongezewa huyu mtu kwenye wakati huu mgumu kwake.Tumpe pole Le mutuz kwa kufiwa na mama yake jamani hayo mengine ni yeye na Mungu wake.
Mods huyu jamaa ni mshikaji wenu ambaye mmekuwa nae kwenye harakati mbalimbali huko nyuma.Hata kama badae mlitofautiana hamuoni hata vema kuanzisha uzi maalum wapole za JF kwa le mutuz kweli?
Apumzike kwa amani mama Willy.Pole sana William Malecela na wote walioguswa na msiba huu
Ya MangeKimambiKwa page ya nani huko insta?