Kinacho msaidia huyu jamaa ni knoweledge ya ubaharia,na ndio maana anaweza kuwapuuzia watu wapumbavu,Hujasafiri na meli 40 days baharini kutoka ulaya kuelekea bara la africa huongei na mtu huna simu, huoni mji wala msitu majanga yote yako usiku na mchana vimbunga mawimbi hulali kula kwa timing ukifanya kazi ya ubaharia mwaka mmoja tu ukirudi mtaani ume change kama ulikuwa mbea mnafiki utaacha bila kujua umeachaje hizo tabia utakuwa ni mtu wa ku ignore watu kirahisi sana muacheni baharia ajiachie masister du kazi mdomo tu.