Lena mke wa Adams: Nafurahia Zaid sex nikifanya na wanaume wengine

Lena mke wa Adams: Nafurahia Zaid sex nikifanya na wanaume wengine

Ukiolewa na mtu wa hivyo ni kama hujaolewa,mtu ambae hatambui commitment anaku fulfil vipi sasa,,,,,unajisikiaje kukaa na mtu ambae saa yoyote anaenda kwa mtu mwingine?...kwa kweli wanayaweza...
Ndio maana ya OPEN RELATIONSHIP
 
Na hayo ndio maisha sasa hutakuja sikia watu wamechinjana kisa maumivu ya kipuuzi ya kimapenzi,,hakuna aliejua ya kwamba au kupanga kabla ya kwamba lazima niwe nae,,tumekutana ulimwenguni kila mmoja na mihangaiko yake tukaamua kushea mihangaiko yetu,,kama ikituchosha kila mmoja aendelee na mihangaiko yake,,kwani bei ganii??Kujitia ukamilifu ambae hatuna na atujabahatika kujaaliwa kuumbwa nao ndio kuna tuleteaga mijitatizo ya kipuuzi,,wenzetu licha ya maendeleo walio jaaliwa huwaga hawakiri wala hawajitii ukamilifu Haswa kwenye maswala ambayo yamewakutanisha wote mnamaamuzi binafsi na ukizangatia ni watu wazima,,, Kwenye ukweli na uwazi Haswa kwenye mahusiano wenzetu wake poa na wanaepusha matatizo mengi na makubwa mnoo kama mkikaa kwa kuviziana na kufichanafichana ndio hayo ya magunia ya mkaa!!
 
Na hayo ndio maisha sasa hutakuja sikia watu wamechinjana kisa maumivu ya kipuuzi ya kimapenzi,,hakuna aliejua ya kwamba au kupanga kabla ya kwamba lazima niwe nae,,tumekutana ulimwenguni kila mmoja na mihangaiko yake tukaamua kushea mihangaiko yetu,,kama ikituchosha kila mmoja aendelee na mihangaiko yake,,kwani bei ganii??Kujitia ukamilifu ambae hatuna na atujabahatika kujaaliwa kuumbwa nao ndio kuna tuleteaga mijitatizo ya kipuuzi,,wenzetu licha ya maendeleo walio jaaliwa huwaga hawakiri wala hawajitii ukamilifu Haswa kwenye maswala ambayo yamewakutanisha wote mnamaamuzi binafsi na ukizangatia ni watu wazima,,, Kwenye ukweli na uwazi Haswa kwenye mahusiano wenzetu wake poa na wanaepusha matatizo mengi na makubwa mnoo kama mkikaa kwa kuviziana na kufichanafichana ndio hayo ya magunia ya mkaa!!
Sahii kabisa
Hata humu jf Kuna watu Ni wakosoaji wakubwa wa kila Jambo utadhan wameumbwa wamekamilika.

Ukishajijua mapunguf yako,sio rahisi kunyooshwa Watu vidole[emoji4]
 
Back
Top Bottom