Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nmewai kuiskia kwa boda flan anaishi kinondoni na mkewe, anampeleka nightclub kumuuza afu alfajir anampigia kalala wapi amfate[emoji4]Hata bongo ipo sana tu Pana jamaa Huwa wanawasindikiza mademu zao kwenda kujiuza then usiku mnene wanarejea wote Getto.
Ndio maana ya OPEN RELATIONSHIPUkiolewa na mtu wa hivyo ni kama hujaolewa,mtu ambae hatambui commitment anaku fulfil vipi sasa,,,,,unajisikiaje kukaa na mtu ambae saa yoyote anaenda kwa mtu mwingine?...kwa kweli wanayaweza...
Imegeuka kuwa kitega uchumi🤣Hata bongo ipo sana tu Pana jamaa Huwa wanawasindikiza mademu zao kwenda kujiuza then usiku mnene wanarejea wote Getto.
Hivi hata wewe unaona ni sawa, umeolewa lakini mume wako anakuruhusu ukafanye na mtu mwengine huku yeye anakuangalia🚮?Ha ha ha.....kwaiyo Hilo jengo linamtimizia haja zake zote au vp?
Sahii kabisaNa hayo ndio maisha sasa hutakuja sikia watu wamechinjana kisa maumivu ya kipuuzi ya kimapenzi,,hakuna aliejua ya kwamba au kupanga kabla ya kwamba lazima niwe nae,,tumekutana ulimwenguni kila mmoja na mihangaiko yake tukaamua kushea mihangaiko yetu,,kama ikituchosha kila mmoja aendelee na mihangaiko yake,,kwani bei ganii??Kujitia ukamilifu ambae hatuna na atujabahatika kujaaliwa kuumbwa nao ndio kuna tuleteaga mijitatizo ya kipuuzi,,wenzetu licha ya maendeleo walio jaaliwa huwaga hawakiri wala hawajitii ukamilifu Haswa kwenye maswala ambayo yamewakutanisha wote mnamaamuzi binafsi na ukizangatia ni watu wazima,,, Kwenye ukweli na uwazi Haswa kwenye mahusiano wenzetu wake poa na wanaepusha matatizo mengi na makubwa mnoo kama mkikaa kwa kuviziana na kufichanafichana ndio hayo ya magunia ya mkaa!!
KitamboImegeuka kuwa kitega uchumi🤣
Ndoa Takatifu???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lena The plug akiwa na mumewe Adams siku Yao kufunga ndoa TakatifuView attachment 2688161