Lena mke wa Adams: Nafurahia Zaid sex nikifanya na wanaume wengine

Lena mke wa Adams: Nafurahia Zaid sex nikifanya na wanaume wengine

Wanajua kutenganisha mahusiano na kazi[emoji4]

Mkuu hao amna kitu hapo, ndoa(mungu) ,mahusiano(sex), kazi(sex), mi naona uku kwingine wapo sahihi ila kuweka ndoa kwenye upuuzi wao ndo wamekosea, mpaka hapo hakuna ndoa labda kama mdada kafanya ivo ili kupata mambo ya haki miliki na maokoto kutoka kwenye kazi zao siku wakiachana
 
Ndo wanajikutaga wanafunga ndoa na mbwa, paka. Kuna mmoja alifunga ndoa na jengo refu kwenye mji wake na shela akavaa. Anasema sijui jengo limempa faraja muda sana, sijui lina upepo mwanana. Hata sikuelewa nikaachana na hiyo habari.
Wewe unashangaa hivyo? Denis Rodman mcheza basketball enz za Michael Jordan alijioa mwenyewe tena kwa kufunga ndoa.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom